Ndugu wana Jukwaa la katiba,
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimetualika wanajukwaa wote kushiriki mdahalo wa Katiba utakaofanyika Ubungo Plaza siku ya Jumamosi Tarehe 30/07/2011 saa 3-7 mchana. Wasemaji wakuu ni Wakili Francis Stola wa Tanganyika Law Society, Wakili Magdalena Rwebangira wa TAWLA na Mr. Bashiru Ally wa UDSM.
Mratibu.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimetualika wanajukwaa wote kushiriki mdahalo wa Katiba utakaofanyika Ubungo Plaza siku ya Jumamosi Tarehe 30/07/2011 saa 3-7 mchana. Wasemaji wakuu ni Wakili Francis Stola wa Tanganyika Law Society, Wakili Magdalena Rwebangira wa TAWLA na Mr. Bashiru Ally wa UDSM.
Mratibu.