At least wewe umeiona ujinga wa mkewe, yaani anataka abebwe vp tena jamani huyo naye? Au mkuu ni le mandingo'zMfanyie kitchen party, hata kama huna pa kwenda chukua chumba guest kaa mpaka saa saba rudi nyumbani, ukifanya hivyo mara mbili ataisoma namba.
Hata kama jamani tangu alipoelezwa swala la ndoa, mahari ikatolewa, akaolewa, nyumba ilijengwa na watoto amezaa hajaizoea tu????At least wewe umeiona ujinga wa mkewe, yaani anataka abebwe vp tena jamani huyo naye? Au mkuu ni le mandingo'z
Afadhali wewe umeiona, ufanye kazi huulizwi mshahara na mpaka pichu unanunuliwa, hiyo ni ndoa ya peponi.Hii ni hadithi
Mhh.tafuta kwa kutoa hasira means mchepuko
Haa haa sema ndo shida ya watu wa sample hio ambayeHata kama jamani tangu alipoelezwa swala la ndoa, mahari ikatolewa, akaolewa, nyumba ilijengwa na watoto amezaa hajaizoea tu????
Tatu kwa siku imekua dozi ya dawa?Haa haa sema ndo shida ya watu wa sample hio ambaye
Hanywi
Havuti
Sio mkware
Yaani taabu kweli kwel ila at least Mara 3 kwa week iko poa zaidi.
Ni mwaka sasa tangu nilipoamua kumfutia wife majukumu yote ya nyumbani na kumbakishia jukumu moja.
Ni hivi kifupi mimi na wife wote ni watumishi, sasa nimemwambia majukumu yote yanayohusu hela mimi nitahusika,
Na mengi nimeyafakinikisha bila msaada wake mfano nyumba nimeshamaliza, watoto nawalipia ada, nimemnunulia gari yake, vyakula na mpaka chupi namnunulia,
Cha msingi yeye nimemwambia akitoka kazini anaoga ananisubiri kitandani kwa ajili ya kula tunda angalau mara tatu kwa siku, lakini anaanza porojo ooooh nimechoka oooh sijui mara hiki mara kile.
Nimemwambia ajipanga la sivyo nitafikiria vinginevyo, mimi ugojwa wangu ni pale chini sinywi wala sina starehe nyingine na wala sina nyumba ndogo, nimempa week akishindwa nitabadili mawazo.
Picha uone nini mkuu hicho kinachomliza mwenyenyumba hapa?Mkuu weka picha tuone..!!
Dah ila naye aliingia makubaliano ye mwenyewe sasa nahisi kaona moto wake sio wakupima. Ila na nyie mkipigwa viwili kwa week mnalalamika Mara ooh jamaa siku hiz umekuwa hivi Mara vile.Tatu kwa siku imekua dozi ya dawa?