Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
kambakamba kama vipi,im in a serious problem with choo kigumu,help me plzhata juice za ukwaju husaidia kupata choo lailni. Zoelea kula vyakula vyenye asili ya kamba kamba
kambakamba kama vipi,im in a serious problem with choo kigumu,help me plzhata juice za ukwaju husaidia kupata choo lailni. Zoelea kula vyakula vyenye asili ya kamba kamba
Kuna tatizo la kupata choo kigumu ambalo huwapata watu, tatizo hili husababisha kutoka uvimbe kwenye haja kubwa. Kama tujuavyo choo laini kinapatikana kwa kula matunda kama ndizi,mapapai nk pamoja na kunywa maji mengi sana. Lakini nimefanya utafiti siku za karibuni na kugundua kwamba Juice za Azam kama MANGO NA TROPICAL MIX pia zinasababisha mtu apate choo laini sana.
Sijaja kutangaza biashara hapa ila nawashauri wenye matatizo ya choo wanywe juice za Azam hasa za Tropical mix na Mango mara kwa mara na watapata majibu sahihi
NAWASILISHA
haina ubishiwaaaoooo, ndo mana mi natafuna sana mirungi
<br />Halafu nasikia ukiwa unakunywa hizo juisi choo chako kinakuwa kinanukia pafyumu.
uongo mbaya hata Ice Cream za Azam ni nzuri sana napenda product zao (sio promo ni kutoka moyoni)
kambakamba kama vipi,im in a serious problem with choo kigumu,help me plz
Rafiki, kama una tatizo hilo kwanza pendelea kula mapapai ( kama hujapata choo na unahitahiji kula zima peke yako na liwe limeiva vizuri haipiti hhata saa moja utakuwa uushaenda kushusha mzigo), ndizi, embe. Utasahau hilo tatizo milele.
kambakamba kama vipi,im in a serious problem with choo kigumu,help me plz