Juice za azam na tatizo la kupata choo kigumu

Hilo la juice uko sahihi kabisa Mkuu, mi nikigusa hata nusu kijiko inabidi nihamie chooni!

Hebu tusaidie, unafikiri kuna kitu gani cha ziada kwenye juice hizo hasa ya nanasi ambacho kinasababisha hali hiyo na hakipo kwenye juice za Ceres au Del Monte?
 
Kuna tatizo la kupata choo kigumu ambalo huwapata watu, tatizo hili husababisha kutoka uvimbe kwenye haja kubwa. Kama tujuavyo choo laini kinapatikana kwa kula matunda kama ndizi,mapapai nk pamoja na kunywa maji mengi sana. Lakini nimefanya utafiti siku za karibuni na kugundua kwamba Juice za Azam kama MANGO NA TROPICAL MIX pia zinasababisha mtu apate choo laini sana.

Sijaja kutangaza biashara hapa ila nawashauri wenye matatizo ya choo wanywe juice za Azam hasa za Tropical mix na Mango mara kwa mara na watapata majibu sahihi

NAWASILISHA

Mode, ondoa hii ki2 hapa kabla maza hajapitia hii kwani home tayari wameshaniamini na kupewa special attention kwamba nikila maharage tu lazima niharishe; kumbe issue ni juice za braza Bakheresa!
 
Halafu nasikia ukiwa unakunywa hizo juisi choo chako kinakuwa kinanukia pafyumu.
 
kambakamba kama vipi,im in a serious problem with choo kigumu,help me plz

Rafiki, kama una tatizo hilo kwanza pendelea kula mapapai ( kama hujapata choo na unahitahiji kula zima peke yako na liwe limeiva vizuri haipiti hhata saa moja utakuwa uushaenda kushusha mzigo), ndizi, embe. Utasahau hilo tatizo milele.
 
Rafiki, kama una tatizo hilo kwanza pendelea kula mapapai ( kama hujapata choo na unahitahiji kula zima peke yako na liwe limeiva vizuri haipiti hhata saa moja utakuwa uushaenda kushusha mzigo), ndizi, embe. Utasahau hilo tatizo milele.


Ukitaka papai likusaidie vizuri kula nusu saa kabla ya kula chakula na nusu saa baada ya kula chakula. ILA KUNA WAKATI HUWA YANAKATAA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom