Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Kamanda naomba uchukue tu tahadhari pamoja na viongozi wote wa chama watakao hudhuria maana waliowapeleka viongozi wengine apolo india wanatamani wawapeleke makamanda wetu. Ila Mungu yu pamoja nasi kila kitakachoinuka kisipokua kwa jina la bwana kitazimwa.