Makamanda na wapambanaji tunaomba tujumuike na kamanda Freeman Aikael Mbowe (MB) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ktl ibada ya kutoa sadaka ya shukurani kwa kufikisha miaka 50.
Ibada itafanyika ktk kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara tarehe 11/12/2011 na baadae kwenye tafrija fupi itakayofanyika Nyumbani kwake Nshara.
Ibada itafanyika ktk kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara tarehe 11/12/2011 na baadae kwenye tafrija fupi itakayofanyika Nyumbani kwake Nshara.