Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Kifuatacho atakuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA.
ila unajua kina bill gates, mark zuckerberg na steve jobs wamefika chuo
hawajaishia junior school....
Hilo moja
pili
hao ni watu wamekuja ku create a product ambayo haikuwepo mwanzo..so wao wamekuja na kumonopoly market wao wali innovate ...
Sasa huyu joyce kiria anafanya kazi ambayo kuna watu wanaifanya na wana uwezo mkubw wa kuifanya na wana elimu kubwa ....
Kuna wanawake wangapi wana host show za kimataifa duniani??
Ni zaidi ya 500
yeye na darasa la saba yake ya necta awapiku???
Not today....
Sikujui but najua una roho mbaya na wivu na tena unaonekana umekulia shida sana na hazitaisha kwa kuwa na roho mbaya, I ddnt know joyce but she is good on her show, ni safari ndefu sana amepitia na kujituma kwake kutamfikisha mbali hado africa magic wamelipia na wanaonesha wanawake live africa nzima we unasema anajishaua, yaani wanawake kama nyinyi ndo maana tunawamega na kuwaacha kwa dharau as hamjiheshimu, unategemea vitu vya bwana halafu unamponda dada wa watu anaeshinda kwenye camera kutafuta ugali wake anajishaua, isingekuwa ban ningeongea neno baya sana jinsi nilivyokuona wa ajabu
Ukweli kwamazungumzo yake mwenyewe amekiri kwamba shule ni muhimu sana na nimemsikia kwa masikio yangu, kama kuna mahali alitamka kwamba elimu haina umuhimu, sikatai yamkini pia kwa upeo wake mdogo au tu kwa kuwa alikuwa kwenye luninga na alikua anaji recall back yeye mwenyewe, lakini kilichomliza pale pale ni kuona kwamba anahitaji sana elimu lakini kwa mfumo uliopo anaona ni changamoto kuifikia kwa sababu kwa maneno yake aanasema akienda say QT na tayari ana vibiashara vyake maana yake ni kukwama maana zinahitaji closely monitoring na akamomba mh mbunge Angela Kairuki aangalie jinsi gani wanaweza kumsaidia binti kama yeye, hata mimi kuna vitu katika analysis yangu niligundua anahitaji shule kidogo...but ni kumpa moyo na kumsisitiza ajitahidi kusoma ili aongezee kitu kwenye kipaji chake....
Nionyeshe sehemu aliyotamka hayo maneno kwenye hìi thread??!
Hayo maneno ndo niliyoyaelewa mimi!!
Tatizo lako hasa nini!? We uliyesoma una nini cha ziada kumshinda yeye!? Mwenzako kwa sasa anaendesha familia za watu kwa kupitia fedha anazowalipa wafanyakazi wake kwenye hz kampuni!? Wewe je au ndo wivu wa kike!?
Wapi wewe?????hizo kampuni alifungua kwa hela za mshahara upi wa darasa la saba?????? Huyo binti namjua kwao mshiko pia haupo hapo ni kobe juu ya mti, kapandishwa hajapanda mwenyeweNa sio mpaka tuwezeshwe
ana makubwa gani kujishaua tu....makubwa yake ni kusema elimu haina umuhimu??
Na sio mpaka tuwezeshwe
Kimeo tu.yeye na Sipora wanaitaji shule. Watanzania tuamke tusiwape sifa za kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.huyu,kanumba,ray,ze komed wanaitaji shule.tusiwape sifa wasizostaili.
Mange=Messi?Manina dah!mange classic anafananishwa na joyce local?hawa watu ligi tofauti kama ni wachezaji mange ni messi joyce ni fred mbuna
Manina dah!mange classic anafananishwa na joyce local?hawa watu ligi tofauti kama ni wachezaji mange ni messi joyce ni fred mbuna
Manina dah!mange classic anafananishwa na joyce local?hawa watu ligi tofauti kama ni wachezaji mange ni messi joyce ni fred mbuna
Manina dah!mange classic anafananishwa na joyce local?hawa watu ligi tofauti kama ni wachezaji mange ni messi joyce ni fred mbuna