Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Ndugu Nassari, wakati El akihutubia mkutano wa kampeni alisema maneno haya, wananchi wamchague sioi ili awaongoze wabunge wa Arusha kwenda kumuona waziri wa ardhi Pro.Anna Tibaijuka kwa kuwa yeye ndiye M/kiti wa wabunge wa Arusha.
Sasa mwambie ww ndie uliyechagulia, tatizo la ardhi,maji,umeme etc. Ni la wana-Arumeru sio la Sioi.
Sasa atumie nafasi ile ile ya M/kiti, na ahadi ile ile mkamuone waziri kwa maendeleo ya Arumeru.
Sasa mwambie ww ndie uliyechagulia, tatizo la ardhi,maji,umeme etc. Ni la wana-Arumeru sio la Sioi.
Sasa atumie nafasi ile ile ya M/kiti, na ahadi ile ile mkamuone waziri kwa maendeleo ya Arumeru.