Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...mkuu kuwa mvumilivu hawa watu wasio na staha hata huku kwetu wapo,tumeenda shule ili tuweze kuyakabili mazingira na malimwengu,na ukisikia malimwengu ndo hawa binadam wasio na busara...stide kuna utoto huwa unanikatisha tamaa sana hapa JF hasa wa huyu mwenzetu,nina hakika kuna watu wanasita kuungana na sisi humu kwa hofu ya utoto huu, plz wabadilike la sivyo JF inaelekea kaburini kitu ambacho ni hatari kwa taifa