Escherichia Coli
Senior Member
- Jan 24, 2012
- 100
- 36
2000-2003 Bagamoyo sec school (div 1)
2004-2006 ________________
2004-2006 Tabora boys' high school div -1!!Nilikuwa nae kijana,ni mtu wa watu.Alikuwa kiongozi wetu wa burudani na michezo!
2000-2003 Bagamoyo sec school (div 1)
2004-2006 ________________
huyu si nasikia huwa anakuwa majuu akisikia uchaguzi ndo anakuja. Msinimeze nimesikia tu manake mnaweza kunimeza mzimamzima kisa kutetea hata kile msichokijua vizuri. Nani anamtaka mtu anayetoka majuu kuja tu kugombea akishindwa ankimbilia majuu.
duu kweli kuna watu na viatu hapa jf na mod nao wana mapenz binafsi mim kwa kuandika tu neno MASABURI nilikula BAN ya mwezi mzima na mod anayejiita BUCHANAN .
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?[/QUOTE
Jitaidi kufuatilia zaidi sidhano Joshua unaemuongelea ndie.. Au ushapiga kitu cha ....
duu kweli kuna watu na viatu hapa jf na mod nao wana mapenz binafsi mim kwa kuandika tu neno ********* nilikula BAN ya mwezi mzima na mod anayejiita BUCHANAN .
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?
wana chadema wenzangu naomba mnifahamishe joshua wa arumeru amepatikana vipi kwani si amehamia toka ccm wiki iliyopita,na akapitishwa kuwa mgombea wa chadema arumeru,hatuoni hili litaleta kutokuaminiana na wanachama wa muda mrufu,pia hili .linaweza kuingiza wanachama mamluki bungeni?
yaani we ni Narung'ombe