Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Safi mh sugu inawezekana wewe ulicherewa kupata akili zikabaki wale wengine waliwahi mapema hadi walitamani wapigwe na polisi ili wapate kiki kimataifa lakini haikuwa wamebaki kushangaa tu
 
Hiyo ni akaunti ni yake kweli?...kuhusu kuchelewa huenda wamefanya makusudi kutengeneza tukio.
 
Leo priority ilikiwa viongozi wa madaraka kufika kwanza! Leo tumeondoka makwetu saa 12 na nusu asubuhi nyumbani ila tumefika maofisini saa 3 asubuhi.

Unless CDM na msafara wao wangeondoka makwao saa 11 alfajiri ndiyo wangewahi shughuli hii.

Siwalaumu, lakini wangepewa usindikizaji wa vyombo vya usalama basi wangewahi kufika tu pale uwanjani kuaga mwili.
 
Leo priority ilikiwa watu wa madaraka!! Leo tunaondoka saa 12 na nusu nyumbani tumefika ofisini saa 3 asubuhi.

Unless CDM na kafara wao wameondoka makao makuu saa 11 alfajiri ndiyo wangewahi shighuli hoi.

Siwalaumu, lakini wangepewa usindikizaji wa vyomb6vya usalama wangewahi tu.
Walifika kwa muda muafaka sema tu ni ile mapokez ya Jana yamewatisha
 
Hapana sidhan kama hio kitu inamake sense mkuu. Ni kujishtukia tu si umeona lema kaanza kujishtukia kisa lissu hajapokelewa kwa mabomu wala mikiki ya polisi. Wangewahi tungefahamu huo ukweli wenyewe.
Reference ni lowasa kuhani msiba kilimanjaro. Rais alikuwa kikwete, mwaka 2015 na hapo ccm walikuwa washamchinja kwenye kamati kihuni "wajumbe hawakusita kuimba tuna imani na lowasa". Hivyo huku nje walikuwa wana tabia ya kuzuia shangwe na mafuriko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Screenshot_20200728-222843.jpg

Screenshot_20200728-222843.jpg
Screenshot_20200728-222843.jpg
Screenshot_20200728-222843.jpg
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Kwa kutumia hiyo post FAKE ya Jongwe, andishi lako lote limekosa maana. Kwa kuwa barua ya Chadema imeonyesha musa ambao walikuwa wanatakiwa kwa mujibu wa ratiba, hebu tuwekee ratiba ya msemaji wa serikali hapa!
 
Hakuna kitu kama hicho wewe gamba, sasa mbona hamjawafanya chochote zaidi ya kuruka ruka tu na kupiga majungu hapa jf?
Mbumbumbu mzungu wa reli.

Haukuelewa nilichomaanisha maskini!.

Linapokuja suala la kitaifa, viongozi wote wa kitaifa wakiwemo wabunge na wanasiasa, wanao wajibu wa kuwajibika bila kujali itikadi za vyama, ni tofauti na raia wasiokuwa viongozi.

Ulisoma popote nimesema sisiem ama chadema'apo?

Me siyo mshabiki wa magwanda wala magamba.
 
Mpona unamwaga mapovu kama loote? Ndiyo cdm hajaenda sasa kajinyonge
Mbumbumbu mzungu wa reli.

Haukuelewa nilichomaanisha maskini!.

Linapokuja suala la kitaifa, viongozi wote wa kitaifa wakiwemo wabunge na wanasiasa, wanao wajibu wa kuwajibika bila kujali itikadi za vyama, ni tofauti na raia wasiokuwa viongozi.

Ulisoma popote nimesema sisiem ama chadema'apo?

Me siyo mshabiki wa magwanda wala magamba.
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Account fake hii imedukuliwa na tayari lema g ameshatoa tahadhari ili watu wasije wakalizwa.

Huyu si Sugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kutumia hiyo post FAKE ya Jongwe, andishi lako lote limekosa maana. Kwa kuwa barua ya Chadema imeonyesha musa ambao walikuwa wanatakiwa kwa mujibu wa ratiba, hebu tuwekee ratiba ya msemaji wa serikali hapa!
Aitoe wapi zaidi ya mikurupuko tu ya kuagizwa na Chakubanga
 
Back
Top Bottom