Joseph Mbilinyi (Sugu) ameachiwa na hizi ndio sababu...

kwanza sina uhakika kama kuna polisi kati ya walio kuwa wana mhoji sugu kuna anayejua kutumia computer.
 
ha ha ha hv huyu ambaye huwa anatoa maagizo ya wabunge wa chadema na makada kukamatwa ni nani hyu tena mwenyewe uwelew mdogo sana hv ccm wana matatizo gani?

ni yule mzee wa isimani ambaye huwa anamsumbua chiku abwao kwa kutumia polisi
 
ila tundu lusi hakika kasoma sheria na imemkaa!ndio maana kikwete alisema bora slaa awe raisi kuliko lisu kuwa bungeni!jamaa nijembe lakuotea mbali,policcm mtahaha sana,,,,ila chadema nimoto wakuotea mbali!!!!
 
2. Neno hilo wanalotuhumu kuwa ni lugha ya matusi, si tusi kwa sheria za nchi yetu, bali linaweza kutumika kwa vitu au mtu anayefanya matendo au kusema maneno yanayostahili kuitwa hivyo.

Hapa Tundu Lissu kamaliza kila kitu...'mpumbavu' si tusi, ni sifa ya mtu anayefanya 'upumbavu'!
 
sugu ni chama kubwa kama arsenal masela wangu wote sasa fanyeni vurugu, laki na nusu kitu gani hata nisipo rap dili zangu ni millioni, sugu moto chini
 
Hivi hawa polisi wanaelewa sheria au wamekariri sheria au ndio kutumika kisiasa?!

POLISI wa tanzania hawajui lolote si sheria wala taratibu za nchi, wao wanatumwa tu kama mbwa anavyoambiwa kamata.ni Mambulula mno hawa jamaa. Halafu si unajua kazi hii wanafanya vilaza, yaani wenye Div4 na walijitahidi kabisa wenye div 3.
 
Huyo ndiyo Tundu Lissu.

Mnayakumbuka maneno ya Rais Dhaifu Kiwete kuhusu Tundu Lissu?
Tukumbushane: Alisema hivi,ninanukuu''ni afadhali kuwa na kina Dr. Slaa 10 Bungeni kuliko kuwa na Tundu Lissu 1 Bungeni''.Je huyu Rais dhaifu aliogopa nini kwa Tundu Lissu?

Tafakari.
 
Ebu jaribu kumwambia mzazi wako au asubuhi ukiingia ofisini mpe hiyo salamu boss wako.

Mtu akitaka asiambiwe hilo neno inabidi awe anapima kauli zake kabla ya kuzitamka. Ukifanya jambo au ukitamka kauli za "kipumbavu" watu watakuita "mpumbavu". Kwa hiyo hilo neno halitolewi tu bila sababu, mbona ni rahisi tu kuelewa?
 
Hawa jamaa kila kitu wana kimbilia polisi kuwadhalilisha makamanda wetu, ipo siku ukombozi utapatikana. Tutasimama imara daima pamoja na vitisho vyao ili haki ya mnyonge ipatikane. Mimi tafsiri yangu ni kuwa wataongeza uhasama kati ya wananchi na polisi wanaotumika kisiasa na wahalifu( kujikimu kiuchumi) hivyo hata suala la polisi jamiii halitakuwepo.

Hii thread inani kumbusha wimbo wa Sugu unaoitwa MIKONONI MWA POLISI
 
Tuwe tu wakweli, polisi wetu tulionao wamepitia Chuoni na tunajua wale wote wanaojiunga ni wanafunzi reject wengine wamefoji vyeti wengine juzi tumegundua wanapelekwa na watu vyuoni na mawakala hatujui wana sifa gani na chuo kinawapokea tu. Naimani ni watu wenye shida za kupitiliza na sifa ndogo huwa wanaenda pale hivyo si shangai wakitumika kama mipira. NAAMINI KUMTETEA MNYONGE AMBAYE HAJITAMBUI NDIYO GHARAMA KWA WELEDI
 
Mnayakumbuka maneno ya Rais Dhaifu Kiwete kuhusu Tundu Lissu?
Tukumbushane: Alisema hivi,ninanukuu''ni afadhali kuwa na kina Dr. Slaa 10 Bungeni kuliko kuwa na Tundu Lissu 1 Bungeni''.Je huyu Rais dhaifu aliogopa nini kwa Tundu Lissu?

Tafakari.

Jamaa anaitendea haki kazi yake, na ana viwango vya kimataifa ndiyo maana dhaifu anamuogopa.
 
Back
Top Bottom