Hagombei yeye kwenye ngazi hii ya serikali za mitaa. CCM wanachofanya kumdhoofisha Dr Slaa kuanzia uchaguzi huu ili mwakani iwe rahisi kumwondoa. Jaribu kufikiria Bunge letu bila mtu kama Dr Slaa.Kwahiyo aachwe awe "Mgombee pekee" mpaka milele..don't bring us back to the dooms days...lazima apate upinzani tusikie other side of him...