mkuu ni jinsi mtu alivoileta hiyo post,kuna post zingine za kidini unaona ni sawa tu,but unakuta zingine zinakera...ila sio vizuri kupost jokes about religionacha uoga exellent say something au ndo unaogopa ban
Acha kuwasifu. Hawa hawaoni kama dini za wenzao ni dini. Ndio maana wanawaita wasio waislamu "Kafir", a derogatory term to accept!!!
Mngeanza na ile picha iliyoenea dunian kote kuwa ni picha ya yesu,na watu wanamini kuwa ni picha ya yesu real,by the way ni ya muitaliano,while jesus was not italianand thats it wanajua watafanya utan koote lakini sio kwenye uislam and that is how it supposed to be hata kwenye ukiristo
Kwanini ushindane na wasio na elimu na waliokosa maarifa? Kumbuka hawa wenzetu kwasababu ya inferiority complex yao ndio inawafanya watumie mabavu. Kwetu sisi busara zinatosha
...kukemea mtu yeyote anayepost jokes kuhusiana na iman za kidini
Sikubaliani kidogo tu wazo lako kwani kuna wakati hata wao wanawathamini "makafiri" kuliko waislamu wenzao. Angalia msemo huu:Acha kuwasifu. Hawa hawaoni kama dini za wenzao ni dini. Ndio maana wanawaita wasio waislamu "Kafir", a derogatory term to accept!!!
uliza swali sasa....nani hana elimu? Waislam? Or? Naona unaanza kuongea pumba mkuu
mbona unapiga ikulu? utulivu F wewe. kaka umeshindwa hatamwingine sio utanui kwa mfano waislamu kula nguruwe na mauzo ya nguruwe kupungua kipindi cha mfungo wa waislamu ni ukweli mtupu...............