CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Mbona wakatoliki wanawaita madhehebu mengine hivyo hivyo yaani makafir,ila tu wanatumia neno la kizungu protestant,au hujui protestant ni kizungu kiarabu kafir na kiswahili ni mpingaji
historia inasema wali-protest against maongozi ya Pope. Wakataka kuoa kinyume na mwongozo wa Rome