Naomba msaada kama kuna mtu analink ya joining intraction za Udom 2014/2015 anisaidie
nina wasiwasi na elimu yako. hivi utaweza hata kuandika barua ya kuomba kazi? hahaha!!
nina wasiwasi na elimu yako. hivi utaweza hata kuandika barua ya kuomba kazi? hahaha!!
Hahah jina lake tu linatia huruma
Yani mpaka sasa hajapata admission letter and other documents
Mbona anatia huruma