ii) Kupitia CCM. Sign of cowardness. Mapinduzi na mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kupitia CCM. Atakachofanikiwa sana sana ni kujifunza kutetea ufisadi.
Anyway kama anataka uwaziri huko CCM ndiko kunakomfaa. Lakini kama kweli ana nia ya kushiriki kuleta mabadiliko aende upinzani, aache longolongo na woga.
Kitila
Upinzani gani wewe unataka kutuambia?Ujinga gani wewe unataka kutuletea hapa,Miaafrika bana tayari limesahau yaliyotoke upinzani.Labda Mashaka ni Mchagga....kwi..kwiii