Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,240
- 113,613
Hivi nyinyi bado mnawasoma hawa jamaa?
hawa jamaa kwa nini huwa hawaleti hii mijadla yao huku JF au kuna kitu mnawaogopesha?
Kwa nini wako comfortable sana kule kwa Michuzi?
nawasilisha
hawa jamaa kwa nini huwa hawaleti hii mijadla yao huku JF au kuna kitu mnawaogopesha?
Kwa nini wako comfortable sana kule kwa Michuzi?
nawasilisha
JF hawajadili hoja; bali, wanajadili FITNA tupu.
Fitna na Majungu mnayajua ninyi?Nadhani JF inatishwa na John Mashaka na Dr. Shayo ndo maana kumsema na majungu yanakuwa mengi
Nadhani JF inatishwa na John Mashaka na Dr. Shayo ndo maana kumsema na majungu yanakuwa mengi
JF kuna majungu sio mchezo.Ndio maana watu makini wote wamekimbia hapa.Walio baki ni watu kama akina YoYo,Fidel80 na Next Level hawa ndio vinara wa majungu hapa.JF hawajadili hoja; bali, wanajadili FITNA tupu.
Wenzako wanampa zawadi michuzi na hizo comments nyingi wanajitilia wenyewe ni kama watoto ambao wamebarehe juzi juzi.hapa hawawezi wanaopa vichwa kama kina GT.yani ukiweka kule comments juu ya hawa watu inachujwa kisawasawa
labda uandike president mtarajiwa 2015 ndio itapita kiuraisi
kwi kwi kwi kwi......
Hata Shayo yupo lakini siruhusiwi kutaja ID yake hapa.alikasirika sana nilipomwambia kuwa sio mtalaam wa Uchumi.Mbona John Mashaka yupo hapa JF na ni mchangiaji mzuri tuu ila hapendi kujulikana maana anajiona yeye ni bonge moja la celebrity.
John alishamwambia one of my friend with hia kenyan accent eti "unajua mimi watu wananijua sana so kama ukiniona inabidi ujitambulishe wewe ni nani na tumeonana wapi"?.
Wamekimbilia wapi?,kwa Michuzi???,ina maana na wewe si mtu makini ndo maana bado upo JF(maana unasema watu makini wote wamekimbia Jf)...Fikiri kabla ya kupost aiseeJF kuna majungu sio mchezo.Ndio maana watu makini wote wamekimbia hapa.Walio baki ni watu kama akina YoYo,Fidel80 na Next Level hawa ndio vinara wa majungu hapa.
Kweli nimeamini JF kumejaa ma snobs
no wonder wanakimbilia kwa michuzi duh!
yaani mnavyoua mpaka noma
Ebana kwani wewe unasomaga articles za hao jamaa?
hapa mkuu cartberth naona unatafuta ''umaarufu sasa''JF kuna majungu sio mchezo.Ndio maana watu makini wote wamekimbia hapa.Walio baki ni watu kama akina YoYo,Fidel80 na Next Level hawa ndio vinara wa majungu hapa.
ahhhh shekheee..
hebu nitake radhi mwinyi wanguuu
niradhi nimsome MUYAKA kuliko hawa ma mediocre ambao wanaonekana kama vile wanajifunza kuandika essays zao za first year ..kwenye gazeti ya shule
ntake radhi mkuu
duh!
Wamekimbilia wapi?,kwa Michuzi???,ina maana na wewe si mtu makini ndo maana bado upo JF(maana unasema watu makini wote wamekimbia Jf)...Fikiri kabla ya kupost aisee
Walio baki ni watu kama akina YoYo,Fidel80 na Next Level hawa ndio vinara wa majungu hapa.
Dogo umeingia juzi tu hapa JF unaweza ukatuambia majungu tunayo piga? Lasivyo hii ishu naipeleka mwa mods tueleze majungu gani tunapiga?
hapa mkuu cartberth naona unatafuta ''umaarufu sasa''