Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
- Thread starter
- #21
Huyo, umemkosa, ukiwa makini unawezamfanyia timing ukajaribu tena kama bado uko fit au la. Kwani? baada ya hapo ulistuastua ukakuta upo fresh?isije ikawa ndio mojakwamoja umekuwa padri. Mambo haya yanaweza sababisha ukashindwa,
1.pressure,2.uchovu mwingi baada ya kazi nzito,kushinda na njaa. Jaribu tena.
nimecheki nipo freshi, hata nikipita threads za mambo ya kikubwa, naona system zote zinafanya kazi... lakini jana.. aisee sijui nikwambiaje