Obhusegwe
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 231
- 28
I suspect wewe unatibiwa TRAUMA CENTRE mabako kumwona consultant inabidi ikutoke laki 5!
pili HOSPITALI ya Mwananyamala haihitaji magazeti ya udaku kuiharibia jina kwani performance yake tayari inatosha kuiharibia jina
Tuulize sie tunaokaa Mwananyamala Kisiwani na kutibiwa pale ndio tutakwambia ukweli
Kama unataka ndugu yako afe mpeleke Temeke,Mwananyamala au Ilala.
Mh! Haya ndo matatizo ya ujuaji mwingi. GT sijui fani yako lakini ktk medicine we ni mweupeeeeeeeeeeee pe peeeeeee. Nakupa sababu kwa nini mwananyamala iko hivyo;
1. Ni hospitali ya kisiasa zaidi, si ya kivitendo na kama tujuavyo kwny siasa linaloongelewa silo linalotendwa.
2. Ni hospitali inayofanya kazi ikiwa imekufa!(a dead horse! can u ride it?)
3. Ni hospitali inayopokea wagonjwa wengi kuliko uwezo wake
4. Ni hospitali inayopokea wagonjwa wa kila aina kiuelewa, lakini wengi ni mbumbumbu wanaojifanya kuelewa sana(hasa hasa mishen town wa kinondoni na m'mala)
5. Its a dumping place... mgonjwa anazungushwa wee kwenye viprivate huko, wakiona anakaribia kufa wanamkimbiza m'mala ili afie huko. Hili ndugu wa mgonjwa wanahusika sana. nina mifano hai, ukitaka nitaweza kukutumia kwny PM, sitaki kuexpose majina ya watu.
6. Ni hospitali inayohudumia machangudoa na vibaka kwa wingi baada ya kuumizwa, kujiumiza(septic abortions etc)
7. Ni hospitali isiyokuwa na vitendea kazi kabisaaa mpk wagonjwa wanaenda kununua syringe medukani!(je hiyo ni kazi ya nesi au daktari kuhakikisha kuna vitu hiyo?)
8....... etc etc
In summary, kila uchafu uko pale!
sasa
Unategemea utendaji kazi utakuweje kwny mazingira hayo? Hujui kuwa mtu ukifanya kazi kwny mazingira kama hayo si rahisi kuwa efficient?
Mwisho: Mtapiga kelele, mtawalaumu wafanyakazi, lakini setting ya hospitali au hata wizara kama haitabadilishwa, we'll continue to see a progressive increase in mortality ktk hospitali hiyo!
Ni mtazamo wangu!