KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Rais wangu kama una kusudio la kuchagua Baraza jipya la Mawaziri ili kuziba mianya katika baraza lako liliopwaya kutokana na kashifa mbalimbali na utendaji usio ridhisha kwa umma na kukiuka maadili ya utumishi wa umma, na hawakuweza kufikia malengo yale uliyowawekea kutokana na semina elekezi lukuki ulizo wapa pale kwenye Hoteli ya engudoto!Mimi wasiwasi wangu usije ukaruka majivu ukakanyaga moto!kwani mimi nionavyo sijajua utawatoa wapi hao mawaziri wapya! Au utateua hata waupinzani ili kuokoa nchi yetu isiende mlama??
Hebu tuangalia ni waziri gani au mbunge anafaa kuwa waziri??
Hebu tuangalia ni waziri gani au mbunge anafaa kuwa waziri??