Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Du! mzungu anammega DC wetu!!!DC Betty Machangu ambaye pia anatembea na Les Taylor ambaye ni mkuu wa Operations Manager Resolute Tanzania LTD...
Du! mzungu anammega DC wetu!!!DC Betty Machangu ambaye pia anatembea na Les Taylor ambaye ni mkuu wa Operations Manager Resolute Tanzania LTD...
Lunyungu!
Pole sana. Acha ubaguzi kama huyo DC SIO mke wa mtu then yuko huru kufanya mapenzi na mwanamume wa chaguo lake hata akiamua kuwa changu doa inategemea na aliyempa Job Description. Kama anakula uroda na Mtishi as long as sio wakati wa kazi hayo ni private life !!
Maamuzi ya Rais hayajadiliwi hapa Tanzania hata akimteua mkewe kuwa Prime Minister si katiba inamruhusu?
Kuhusu aliyepigwa paranja kwa kuingilia ulaji wa DC huyo mama nampa pole.
Nilishawaambia hapa jamii kwamba Mgodi wa Resolute unamilikiwa na Rostam Aziz mbunge wa Igunga period. Kesi ya nyani utapeleka kwa ngedere unatarajia nini hakuna kitu!!! Hao akina Tosialitumwa kutafuta dhahabu ya JMK kwani yeye ni shareholder behind the scenes !
Kwa taarifa hiyo andika maumivu na imekula kwako !! Next time be careful usikiguse kitumbua cha DC or else utchovywa kwenye Acid au ulambishwe cynide ukafie kwenu!!! Kalieni majungu tu mnavuna mlichopanda kwenye uchaguzi wa 2005. Si mlisema ana sura nzuri kalieni ugali kama ni ya samaki!!! Kidumu CCM na Rostam Aziz kanyaga twende pambaf!!!
Nziku ndauli beela siwipuliha?
Ohhh mkuu Nziku ndauli beela siwipuliha?
Tume tumechoka mkuu hazina jipya wanasafisha tu watu wenye matope na wao sasa wamesha chafuka hawana jipya.
Mh Spika tunaomba mwongozo!
Lunyungu!
Pole sana. Acha ubaguzi kama huyo DC SIO mke wa mtu then yuko huru kufanya mapenzi na mwanamume wa chaguo lake hata akiamua kuwa changu doa inategemea na aliyempa Job Description. Kama anakula uroda na Mtishi as long as sio wakati wa kazi hayo ni private life !!
Maamuzi ya Rais hayajadiliwi hapa Tanzania hata akimteua mkewe kuwa Prime Minister si katiba inamruhusu?
Kuhusu aliyepigwa paranja kwa kuingilia ulaji wa DC huyo mama nampa pole.
Nilishawaambia hapa jamii kwamba Mgodi wa Resolute unamilikiwa na Rostam Aziz mbunge wa Igunga period. Kesi ya nyani utapeleka kwa ngedere unatarajia nini hakuna kitu!!! Hao akina Tosialitumwa kutafuta dhahabu ya JMK kwani yeye ni shareholder behind the scenes !
Kwa taarifa hiyo andika maumivu na imekula kwako !! Next time be careful usikiguse kitumbua cha DC or else utchovywa kwenye Acid au ulambishwe cynide ukafie kwenu!!! Kalieni majungu tu mnavuna mlichopanda kwenye uchaguzi wa 2005. Si mlisema ana sura nzuri kalieni ugali kama ni ya samaki!!! Kidumu CCM na Rostam Aziz kanyaga twende pambaf!!!
Lunyungu!
Pole sana. Acha ubaguzi kama huyo DC SIO mke wa mtu then yuko huru kufanya mapenzi na mwanamume wa chaguo lake hata akiamua kuwa changu doa inategemea na aliyempa Job Description. Kama anakula uroda na Mtishi as long as sio wakati wa kazi hayo ni private life !!
Maamuzi ya Rais hayajadiliwi hapa Tanzania hata akimteua mkewe kuwa Prime Minister si katiba inamruhusu?
Kuhusu aliyepigwa paranja kwa kuingilia ulaji wa DC huyo mama nampa pole.
Nilishawaambia hapa jamii kwamba Mgodi wa Resolute unamilikiwa na Rostam Aziz mbunge wa Igunga period. Kesi ya nyani utapeleka kwa ngedere unatarajia nini hakuna kitu!!! Hao akina Tosialitumwa kutafuta dhahabu ya JMK kwani yeye ni shareholder behind the scenes !
Kwa taarifa hiyo andika maumivu na imekula kwako !! Next time be careful usikiguse kitumbua cha DC or else utchovywa kwenye Acid au ulambishwe cynide ukafie kwenu!!! Kalieni majungu tu mnavuna mlichopanda kwenye uchaguzi wa 2005. Si mlisema ana sura nzuri kalieni ugali kama ni ya samaki!!! Kidumu CCM na Rostam Aziz kanyaga twende pambaf!!!
DC Betty Machangu ambaye pia anatembea na Les Taylor ambaye ni mkuu wa Operations Manager Resolute Tanzania LTD...
Du! mzungu anammega DC wetu!!!
Hatujui ilipoishia ila aliwekewa dhamana na akatoka hadi leo hatujasikia kesi ... na anaendelea na mambo yake kama kawaida ila kaanza fitina mgodi mzima kwamba kuna dada mmoja wanafanya naye kazi ndiye aliyemshitaki polisi ama kumtaja huko polisi lakini yeye ana uwezo na pia yeye anafahamiana na wakubwa hivyo hapatakuwa na kesi.
Mkereme
duh mzee umeamua kunitukana .Sijajua sababu au ulitaka habari hii isijulikane ? Mie nimeipata kwa wakubwa hapa wana haha nayo nikasema wacha niujulishe Ulimwengu wa wana JF .Nikiuawa na wao watakufa tu si jibu .Huwezi kufanyua udhalimu ukadhani utaishi milele.Kila muosha maiti naye ataoshwa kwa taarifa anikiniua naye atapata shida .Ufisadi huu ni mbaya sana ndugu zanguni.Mwalikua alikataa kuchimba madini haya akiwa na maana leo yanachimbwa watu wanakufa unasema ninyamaze ? Asante
Luyungu!
Kunradhi sijakutukana labda nimetumia fasihi ya juu mno kupita uelewa wa wengi hapa jamii forums!! Nilikuambia imekula kwako meaning hakuna cha tume wala kesi itakayojibiwa!!! Mwizi anamkimbiza mwenye mali!!
Nilikuwa na maana kwamba DC anateuliwa na RAIS ili kumwakilisha kwenye Wilaya na hata Mkuu wa Mkoa hashirikishwi na ndio maana huwezi kujua nani ni bosi wa nani hapa TZ kwa sababu wote wateuliwa na RAIS!!
Kuhusu DC Machangu ni kwamba amepewa jukumu la kuangalia maslahi ya Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mgodi wa Resolute ambao unamilikiwa na Rostam Aziz aliyeuziwa na wale wazungu kutoka Australia ambao baada ya kuchuma janga wamerudi kula na wa kwao!!
Kwa vile Machangu ni askari wa miavuli ameamua kutumia mwili wake kumchuna huyo Mzungu na kuwa na total control after all huyo mdosi ameajiriwa na ni wakala wa RA period !! Hivi nitumie lugha gani mnielewe!
Katika machakato wa kukwapua na hizo senti za NGO wakataka kina mama wachukue asili mia hamsini, Kosa lako Lunyungu na wenzio ni kupeleka habari Takukuru ambako Hosea YUKO kwenye PAYOLL ya Rostam Aziz huku DC akiwa kapewa kazi na Rais sasa unafikiri hapo utapona!! Utaonekana wewe kanyau tu that is what I mean.
Narudia wote mlifurahia including Maaskofu kwamba JMK alikuwa chaguo la Mungu back in 2005 leo kawa mbaya actually mnavuna mlichopanda!!
Bila total revolution huu mdundiko utaendelea tu huko North Mara si mmesikia yanayotokea kuhusu CYANIDE kumwagwa mtoni watu wafe and hakuna anayejali kuanzia Pinda, Kikwete,Bunge na mawaziri wote!!
Iko siku atatokea mtu ambayo hamtaijua atawalipua mkifanya mzaha huko dodoma au kwenye mikutano yenu ya chama Iam just dreaming !!!
Mdau naomba nikusahihishe kidogo, ninavyofahamu mimi ule mgodi wa Resolute unamilikiwa na Resolute mining ltd ambayo ni kampuni ya Australia. Rostam anamiliki Caspian Mining ambayo ni kampuni iliyipewa dhamana ya uchimbaji wa dhahabu kule Golden Pride Nzega.
Mh Spika tunaomba mwongozo!
Lunyungu tunaomba mwongozo ili tuweze kukusaidia kuhusu ili swala. wewe ulisema idara nzima ya community mlikuwa watatu. sasa swla la wizi wa dhahabu linausiana vipi na mambo ya community???
Hii issue iko wazi kama kuna mtu wa kufuatilia nadhani anaweza tu .Nime elewa hivi .Kumetokea matukio 2 tofauti na yote Mama Mvura amekuwa involved.La kuomba rushwa alitaka wakale na DC likaleta shida .
Baadaye kumetokea wizi mkubwa , tena Mvura akadakwa nadhani hata bwana mkubwa mgodini anamjua ni mtu wa deal kwa sababu kwa nini akamatwe yeye tu hapo mgodini ? Pia walimwagwa askari wa kufa mtu ni kwa mari ya nani ? Lazima pia nusa nusa ilikuwepo na kuonekana kwamba Mvura ndiye kinara wa matukio.
Haya fuatilia sasa kwa msaada huu wa uchambuzi
Huyu mariam mavura alikuwa anajisomesha pale open university MA(DS) sijui kama kamaliza na alionekana kutesa sana kwa vijisenti kumbe ndo mambo yake?? Kweli Watanzania tunaliwa sana, na huyo DC analifedhehesha taifa, kweli anatembea na mzungu ili hali unamwakilisha rais ktk wilaya yako!! Lol
Kwani kuna ubaya gani wa mtu kutembea na mzungu??? Kwa kuwa ni Mwanamke anahaki ya kutembea na mtu yeyote, haijalishi mi mzungu, mwarabu nk.
sasa hapa tunamsaidiaje Lunyungu kwenye hili janga lilimpata???