Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ile issue tuliyoongea kuhusu PCCB.
Mwaka jana mwezi wa 10 Kampuni Resolute ilitoa donation ya pesa kwa NGO zinazofanya miradi ya HIV/Aids. NGO 3 zilipewa milioni 3 kila moja.
Ofisini ya idara ya mahusiano hapo Resolute ilikuwa na wafanyakazi 3, mmoja wao ni Mariam Mavura amabye ni mkuu wa idara.
Wakati hiyo pesa inatolewa,nilikuwa likizo , Kwa hiyo huyu mama yaani Mariam Mvura ambaye ni mkuu wa Idara hapa akawafuata viongozi wa NGO inayoitwa CHAWATIATA waliopewa pesa akawaomba wampe rushwa ya sh 1.5milion, jamaa wakakataa,pesa hii ilikiwa wagawane na DC Betty Machangu ambaye pia anatembea na Les Taylor ambaye ni mkuu wa Operations Manager Resolute Tanzania LTD, baada ya kuona wamekataa na wanaweza kumsemea, akageuza kibao na kuja kushtaki kazini nilikuwa naomba rushwa.
So baada ya bosi mkubwa yaani Les Taylor kusikia hivyo na issue ikawa imepita kwa DC, DC akapendekeza nifukuzwe kazi.
Wakati huo huo wakaanza kuisakama ile NGO ya CHAWATIATA kwa kuwatumia PCCB Nzega kuwa imetoa rushwa kwangu, so wakawa wanawashinikiza ile NGO itoe malezeo yatakayo niangamiza , ila taratibu zote za kesi zilifanyika pale ofisini na wale watu wa NGO wakaja kutoa ushahidi kuwa huyu mama yaani Mariam Mavura ndiye aliyeomba rushwa na siyo mimi. Sasa wakati vurugu zinaendelea, bosi mkubwa yaanio Les Taylor akawa anafuata sana maelekezo ya DC, na barua aliyoandika huku mgodini akimwelekeza kuwa nifukuzwe kazi; kumbe DC ni bibi yake siye tulikuja kufahamu baadaye.
Huyu DC kuna mambo mengi sana ya siri anayofanya na mgodi, ikiwa ni mgodi kumpatia mabasi ya kufadhili uchaguzi wa UWT bure na kwa siri, ili hali kampuni ikitoa tamko kuwa haijihusihi na siasa hivyo kutotoa pesa kwa Chama chochote cha siasa.
So kesi ikaamuliwa in favour of me ila huyu mama Mariam Mvura huku kwetu akasema hataki kufanya kazi na mimi , so ikabidi niondolewe kazini .
Mmoja wapo wa wale watu wa NGO ambao waliwekwa ndani na PCB ni ndugu wa Warioba aliyekuwa PM zamani, akaamua kuandika malalamiko Ikulu kuhusu unyanyasaji unaofanywa na PCB, huyu mama wa mgodini na DC kuwakandamiza wao.
Baada ya hiyo barua kufika Ikulu, waziri mkuu akamwagiza mkuu wa mkoa wa Tabora aunde tume ije kufuatilia hili suala, hasa kwanini huyu mfanyakazi kapewa mazingira magumu yakamfanya aache kazi.
Tume ya kwanza ikaja ikahoji ikapeleka majibu, baada ya muda ikaja tume ya pili yenye watu wa usalama wa taifa, PCB makao makuu na mkoani, walipokuja kuhoji huyu mama Betty Machangu akawaleta hadi mgodini akawatembeza huku na huko .....baada ya hapo hatujui iliishia wapi.
Majuzi mwezi wa nne, kulitokea wizi hapa mgodini, wakamwagwa askari hapa wa kufa mtu, Tosi akaleta kikosi chake, kabla ya wizi huo mkuu wa wilaya aliagiza PCB wamkamate yule Katibu wa NGO akawekwa ndani siku nne akiishinikizwa kubadili kauli yake kuwa DC na huyu mama wa mgodini hawakuomba rushwa, jamaa akakataa kubadili statement yake, baadaye wakamwachia.
Wizi ulipotokea na kamata kamata ikaanza, huyu mama wa mgodini naye akakamatwa na kuweka ndani siku 11, issue yake ikawa haiwezi kutatuliwa, kila anayeuliza anaambiwa awasiliane na Ikulu. watu waliomkamata mmoja wao ni PCB toka makao makuu na usalama wa taifa.Wizi huu ulikuwa wa dhahabu nyingi tu, na katika kuhojiwa wanakijiji walisema hawana uhusiano mzuri na mgodi kwani huyu mama anakula pesa za miradi ya wananchi.
Wakampeleka hadi benki kucheki akaunti zake wakakuta ana zaidi ya milioni sabini ambazo wakati anahojiwa hakuweza kueleza biashara anayofanya ya kuingiza pesa in between salaries tena kwa amount kubwa!!
Hatujui ilipoishia ila aliwekewa dhamana na akatoka hadi leo hatujasikia kesi ... na anaendelea na mambo yake kama kawaida ila kaanza fitina mgodi mzima kwamba kuna dada mmoja wanafanya naye kazi ndiye aliyemshitaki polisi ama kumtaja huko polisi lakini yeye ana uwezo na pia yeye anafahamiana na wakubwa hivyo hapatakuwa na kesi.
Mwaka jana mwezi wa 10 Kampuni Resolute ilitoa donation ya pesa kwa NGO zinazofanya miradi ya HIV/Aids. NGO 3 zilipewa milioni 3 kila moja.
Ofisini ya idara ya mahusiano hapo Resolute ilikuwa na wafanyakazi 3, mmoja wao ni Mariam Mavura amabye ni mkuu wa idara.
Wakati hiyo pesa inatolewa,nilikuwa likizo , Kwa hiyo huyu mama yaani Mariam Mvura ambaye ni mkuu wa Idara hapa akawafuata viongozi wa NGO inayoitwa CHAWATIATA waliopewa pesa akawaomba wampe rushwa ya sh 1.5milion, jamaa wakakataa,pesa hii ilikiwa wagawane na DC Betty Machangu ambaye pia anatembea na Les Taylor ambaye ni mkuu wa Operations Manager Resolute Tanzania LTD, baada ya kuona wamekataa na wanaweza kumsemea, akageuza kibao na kuja kushtaki kazini nilikuwa naomba rushwa.
So baada ya bosi mkubwa yaani Les Taylor kusikia hivyo na issue ikawa imepita kwa DC, DC akapendekeza nifukuzwe kazi.
Wakati huo huo wakaanza kuisakama ile NGO ya CHAWATIATA kwa kuwatumia PCCB Nzega kuwa imetoa rushwa kwangu, so wakawa wanawashinikiza ile NGO itoe malezeo yatakayo niangamiza , ila taratibu zote za kesi zilifanyika pale ofisini na wale watu wa NGO wakaja kutoa ushahidi kuwa huyu mama yaani Mariam Mavura ndiye aliyeomba rushwa na siyo mimi. Sasa wakati vurugu zinaendelea, bosi mkubwa yaanio Les Taylor akawa anafuata sana maelekezo ya DC, na barua aliyoandika huku mgodini akimwelekeza kuwa nifukuzwe kazi; kumbe DC ni bibi yake siye tulikuja kufahamu baadaye.
Huyu DC kuna mambo mengi sana ya siri anayofanya na mgodi, ikiwa ni mgodi kumpatia mabasi ya kufadhili uchaguzi wa UWT bure na kwa siri, ili hali kampuni ikitoa tamko kuwa haijihusihi na siasa hivyo kutotoa pesa kwa Chama chochote cha siasa.
So kesi ikaamuliwa in favour of me ila huyu mama Mariam Mvura huku kwetu akasema hataki kufanya kazi na mimi , so ikabidi niondolewe kazini .
Mmoja wapo wa wale watu wa NGO ambao waliwekwa ndani na PCB ni ndugu wa Warioba aliyekuwa PM zamani, akaamua kuandika malalamiko Ikulu kuhusu unyanyasaji unaofanywa na PCB, huyu mama wa mgodini na DC kuwakandamiza wao.
Baada ya hiyo barua kufika Ikulu, waziri mkuu akamwagiza mkuu wa mkoa wa Tabora aunde tume ije kufuatilia hili suala, hasa kwanini huyu mfanyakazi kapewa mazingira magumu yakamfanya aache kazi.
Tume ya kwanza ikaja ikahoji ikapeleka majibu, baada ya muda ikaja tume ya pili yenye watu wa usalama wa taifa, PCB makao makuu na mkoani, walipokuja kuhoji huyu mama Betty Machangu akawaleta hadi mgodini akawatembeza huku na huko .....baada ya hapo hatujui iliishia wapi.
Majuzi mwezi wa nne, kulitokea wizi hapa mgodini, wakamwagwa askari hapa wa kufa mtu, Tosi akaleta kikosi chake, kabla ya wizi huo mkuu wa wilaya aliagiza PCB wamkamate yule Katibu wa NGO akawekwa ndani siku nne akiishinikizwa kubadili kauli yake kuwa DC na huyu mama wa mgodini hawakuomba rushwa, jamaa akakataa kubadili statement yake, baadaye wakamwachia.
Wizi ulipotokea na kamata kamata ikaanza, huyu mama wa mgodini naye akakamatwa na kuweka ndani siku 11, issue yake ikawa haiwezi kutatuliwa, kila anayeuliza anaambiwa awasiliane na Ikulu. watu waliomkamata mmoja wao ni PCB toka makao makuu na usalama wa taifa.Wizi huu ulikuwa wa dhahabu nyingi tu, na katika kuhojiwa wanakijiji walisema hawana uhusiano mzuri na mgodi kwani huyu mama anakula pesa za miradi ya wananchi.
Wakampeleka hadi benki kucheki akaunti zake wakakuta ana zaidi ya milioni sabini ambazo wakati anahojiwa hakuweza kueleza biashara anayofanya ya kuingiza pesa in between salaries tena kwa amount kubwa!!
Hatujui ilipoishia ila aliwekewa dhamana na akatoka hadi leo hatujasikia kesi ... na anaendelea na mambo yake kama kawaida ila kaanza fitina mgodi mzima kwamba kuna dada mmoja wanafanya naye kazi ndiye aliyemshitaki polisi ama kumtaja huko polisi lakini yeye ana uwezo na pia yeye anafahamiana na wakubwa hivyo hapatakuwa na kesi.