Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Sura mbaya Anna MkapaNa mkapa je, alipelekwa na nani?
Sura mbaya Anna MkapaNa mkapa je, alipelekwa na nani?
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa, Rais Jakaya Kikwete amesema hana tatizo na wanachama wa chama hicho wanaohamia vyama vingine,lakini wasijaribu kukihujumu.
Aidha amesema,mwanawe Ridhiwani hahusiki katika sakata la kuenguliwa kuwania ubunge Jimbo la Nzega, Hussein Bashe kama ilivyoripotiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari.
Kuhusu Bashe, Mwenyekiti huyo wa CCM Taifa alisema kuenguliwa kwa kijana huyo kulifanywa na Kamati Kuu ambayo ilifanya hivyo kwa manufaa ya chama.
Alisema Kamati Kuu hiyo ilijitahidi kuheshimu uamuzi ya wanachama wake, lakini kutokana na sababu mbalimbali kama uraia na utovu wa maadili ambao ungesababisha chama hicho kuanguka katika jimbo husika, walimteua wanayeona anafaa.
Alisema kuna magazeti yanasema maneno mengi ili wanachama wa chama hicho wachukiane na yakishindwa kuona mema ya chama hicho kwa mwaka mzima.
Hata hivyo, baadhi ya vyombo vya habari vilidai kuenguliwa kwa Bashe aliyeongoza kwa kura zaidi ya 14,000 dhidi ya wagombea wengine wawili, Lucas Selelii na Dk. Hamis Kigwangala, kumetokana na tofauti zake na Ridhiwani ambaye kama Bashe ni Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM.
Source: Habari Leo
Kuna Habari kuwa Dr. Hamis Kigwangala anafanya kazi au ni Mshauri wa Mama SALMA KKIKWETE kwenye NGO yake ya WAMA. Kwa hiyo kupitia Uhusiano huo ndiyo maana Mkulu alimbeba!!!! Je, kuna mwenye data zaidi atujuze???
Na mkapa je, alipelekwa na nani?