Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Wasi wasi tu na kutaka kuji normalise na kutafuta huruma ya jamaa. Hivi Dr. Slaa alienda?
Duh ina maana Kila jambo ni baya tu, SI KWELI!
Wasi wasi tu na kutaka kuji normalise na kutafuta huruma ya jamaa. Hivi Dr. Slaa alienda?
Wasi wasi tu na kutaka kuji normalise na kutafuta huruma ya jamaa. Hivi Dr. Slaa alienda?
mimi nisingekula wala kunywa chochote hapo ikulu, hawakawii kuwapa sumu ya kuua pole pole.
Mungu aliumba wajinga, wezi, wapumbavu, waungwana, wachafu wasafi nk nk, akawaweka duniani waishi pamoja hatuwezi kujitenga nao...
Yalianza siku nyingiMaridhiano !