PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
JK amewasili Arusha leo na kuelekea Monduli kutoa kamisheni kwa maafisa wa Jeshi.
Mara baada ya kushuka kwenye ndege aliwauliza waliojipanga kumpokea..."Vipi, FUJO ZIMEISHA?...MBONA MADIWANI WETU NI WENGI KULIKO WAO, WANATAKA NINI HAWA?"...ameuliza kwa masikitiko!
Mara baada ya kushuka kwenye ndege aliwauliza waliojipanga kumpokea..."Vipi, FUJO ZIMEISHA?...MBONA MADIWANI WETU NI WENGI KULIKO WAO, WANATAKA NINI HAWA?"...ameuliza kwa masikitiko!