Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #21
Dah,inahitaji moyo kumtetea mtu mwizi'''nlazima uwe umehongwa wewe.
Hivi kwa akili yako unaona lowasa msafi? Ile kusema kwamba wewe mwenyekiti ulikua unajua kila kitu ndo kunamfanya kuwa msafi? Hivi hauoni kwamba alichosema ni kwamba tuliiba na tuliiba wote,sio peke yangu? Hata kama aliyafanya maamuzi mabaya ,hafai kuwa kiongozi kwa kusingizia eti alifanya maamuzi mabaya wa kulazimishwa na mwenyekiti/rais.Angejiuzulu basi kama aliona maamuzi anayoenda kuyafanya sio sahihi.Leo hii zile Billion 113 tunazodaiwa na Dowans ni zao la Richmond,Richmond ni zao la aidha maamuzi mabaya au rushwa ambayo huwezi kumtenganisha huyo bosi wako lowasa.
Bwana Jumakidogo endelea tu kulipwa hizo hela za lowasa,manake anazo nyingi kweli tangu alizoiba kule AICC,Zifaidi kidogo walau.
Huwezi kutoa hukumu bila ya ushahidi kwa kutumia zahania. Wekeni ushahidi hadharani mtu achukuliwe hatua. Acheni majungu ya kishabiki.