Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Hivi kweli Kikwete anavunja maudhui ya katiba akiwa na macho makavu!! Mawaziri kwa mujibu wa katiba, I stand 2 b corrected, lazima watokane na wabunge. Na ili utambuliwe kama Mbunge lazima uwe umeapishwa na Speaker.
Kikwete yupo juu ya Katiba. Anateuwa mbunge na papo hapo anamteuwa kuwa waziri, maana ni kwamba kampa mtu uwaziri kabla hajawa mbunge! Tujadili
Chini ya ibara 55 (4 ) kuhusu Uteuzi wa Mawaziri inasema Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka
miongoni mwa Wabunge, ibara 68 inasema 68. Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.
Kikwete yupo juu ya Katiba. Anateuwa mbunge na papo hapo anamteuwa kuwa waziri, maana ni kwamba kampa mtu uwaziri kabla hajawa mbunge! Tujadili
Chini ya ibara 55 (4 ) kuhusu Uteuzi wa Mawaziri inasema Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka
miongoni mwa Wabunge, ibara 68 inasema 68. Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.