Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Kwani jamani kuna mzozo gani ambao unamhitaji raisi kukutana na CDM, na anamsuluhisha suala gani? Mimi ninashauri huyu mkulu atimize majukumu yake kama anaweza, na CDM waendelee na shughuli zao za kisiasa. Wameanza vizuri kutoa elimu ya uraia kwa wananchi suala ambalo ni jukumu la mkulu na serikali yake; lakini kwa kuwa ulikuwa mtaji wa kale ka-chama ka-Mwalimu, kakiwa kamejikita ktk sintofahamu ya wananchi juu wa wajibu wao ktk masuala ya siasa ktk mfumo huu wa vyama vingi. Hakika jasho la meno litawatokeni sana CCM, hali ya uchumi kwa wananchi ni ngumu, Mungu aepushe na balaa la ukame kwani walafi ndani ya ka-chama kenu watataka waendelee kunufaika ili hali wanachi watakuwa wanakufa na njaa - hapa nakumbuka RC mmoja (natumai ni huko Mara) aliwahi kukanusha kuwa wananchi wake hawana njaa na waandishi walipofika huko walikuta watu wameathirika kishenzi.
Serikali kaza buti, acha longo longo
Serikali kaza buti, acha longo longo