Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,440
- 92,801
Watakuwa wanajidanganya sana kama watakutana na Chadema kwa kudhani hili ni tatizo la Chadema, mimi nawashauri waanze na kina Mgaya wa TUCTA kwanza waelewane na waongeze mshahara stahiki ( sababu nina ushahidi wa kutosha kwamba pesa hizo zipo na nchi yetu ni tajiri ).
2. wakutane na vyama vya wamachinga wajue matatizo yao halisi na sio kuwajengea machinga complex
3. wahakikishe wote wanaowasababishia maisha magumu Watanzania wanashughulikiwa mara moja bila kuacha chembe ya shaka.
4. Lianzishwe jukwaa huru la vijana wasio na hajira ( na sio vijana watoto wa vigogo) hapo pawe ni chumbiko la mijadala ya kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana.
Zipo sababu nyingi nimetoa mawazo yangu tu kwa uchache, lakini kama kuna mpuuzi ambaye anadhani tatizo ni CHADEMA anajidanganya, kwangu mimi Chadema naona ni kama starter tu ya kuamsha hasira za watu waliokata tamaa ya maisha na hambao hawana cha kupoteza, maana duniani hawapo na peponi hawapo, je watu hawa wako wapi? mtu anaota ndoto amekufa kwa wiki mara tatu unadhani mtu mwenye maisha bora huwa anaota ndoto za kufakufa?
2. wakutane na vyama vya wamachinga wajue matatizo yao halisi na sio kuwajengea machinga complex
3. wahakikishe wote wanaowasababishia maisha magumu Watanzania wanashughulikiwa mara moja bila kuacha chembe ya shaka.
4. Lianzishwe jukwaa huru la vijana wasio na hajira ( na sio vijana watoto wa vigogo) hapo pawe ni chumbiko la mijadala ya kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana.
Zipo sababu nyingi nimetoa mawazo yangu tu kwa uchache, lakini kama kuna mpuuzi ambaye anadhani tatizo ni CHADEMA anajidanganya, kwangu mimi Chadema naona ni kama starter tu ya kuamsha hasira za watu waliokata tamaa ya maisha na hambao hawana cha kupoteza, maana duniani hawapo na peponi hawapo, je watu hawa wako wapi? mtu anaota ndoto amekufa kwa wiki mara tatu unadhani mtu mwenye maisha bora huwa anaota ndoto za kufakufa?