POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
katika ziara yake nchini South Africa, Jk ameenda kumtembelea mke wa Nelson Mandela ili kuwajulia hali. Ok je hii ilikuwepo kwenye ratiba ya ziara yake? kurugenzi ya mawasiliano Ikulu katika " taarifa Kwa umma" hakukuwa na ratiba ya kuona familia ya Mzee Madiba.
Hii imekaaje wakuu?:bange:
Hii imekaaje wakuu?:bange: