Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Kuna wakati JK alikua anaulizwa maswali na waandishi wa habari, moja ya swali aliloulizwa ni kwamba anataka watanzania wamkumbuke kwa lipi atakapomaliza muhula wake.
Naye bila kufikiri kwa kina alitoa jibu rahisi tu na kusema naomba kunukuu '' nataka watanzania wanikumbuke kuwa nimewatoa sehemu flani na nimewafikisha hapa''
Sasa mimi naamini kuwa huyu JK aliupata uongozi kwa njia isiyo halali na labda alimwaga damu wakati anautafuta uongozi.
Kwani kila anaetambua ni kuwa mamlaka iliyopata madaraka kwa kumwaga damu dhahiri utaendelea kumwaga damu,tumeona Arusha, morogoro, na sasa mbeya huku wakitumia polisi kupata damu ya kulisha mizimu ya CCM.
kwahiyo anatutoa kwenye amani anatupeleka kwenye vita kwa kutumia polisi nao polisi bila kuelewa hili wanaenda kama nyumbu.
UCHUMI
Katutoa kwenye uchumi mzuri hadi uchumi legelege.
Maoni yangu
Fanya maamuzi magumu kama pacha mwenzako EL ili uwe na amani kwa kipindi cha uhai wako bila hivi damu ulioimwaga itamaliza kizazi chako hadi kizazi cha tatu. :amen:
Naye bila kufikiri kwa kina alitoa jibu rahisi tu na kusema naomba kunukuu '' nataka watanzania wanikumbuke kuwa nimewatoa sehemu flani na nimewafikisha hapa''
Sasa mimi naamini kuwa huyu JK aliupata uongozi kwa njia isiyo halali na labda alimwaga damu wakati anautafuta uongozi.
Kwani kila anaetambua ni kuwa mamlaka iliyopata madaraka kwa kumwaga damu dhahiri utaendelea kumwaga damu,tumeona Arusha, morogoro, na sasa mbeya huku wakitumia polisi kupata damu ya kulisha mizimu ya CCM.
kwahiyo anatutoa kwenye amani anatupeleka kwenye vita kwa kutumia polisi nao polisi bila kuelewa hili wanaenda kama nyumbu.
UCHUMI
Katutoa kwenye uchumi mzuri hadi uchumi legelege.
Maoni yangu
Fanya maamuzi magumu kama pacha mwenzako EL ili uwe na amani kwa kipindi cha uhai wako bila hivi damu ulioimwaga itamaliza kizazi chako hadi kizazi cha tatu. :amen: