Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Taarifa za kuaminika toka kwa chanzo muhimu toka ndani ya kamati kuu ya ccm na kutoka key-parsons wa urais wa Tz kwa tiketi ya ccm, zinasema kuwa:
"Wale walioamini na wanaoamini kuwa Jk na Lowassa ni maadui, wamefilisika.
Kundi linalounda maamuzi ya mwisho ya URAIS wa Tz kwa mkono wa ccm linaongozo na key-Parsons wasiozidi kumi ambao ni: 1) Jk 2) Lowassa (3) Rostam (4) Karamagi (5) Chenge (6) Mzee karume Rais Mstaafu (7) Nahodha
Inaelezwa kuwa hawa ndio wenye maamizi ya misho kwa sasa na tayari wameshamchagua mgombea urais ajae, inazidi kuelezwa kuwa iwe usiku au mchana, kiangazi au masika, imwagwe damu au vicheko vitawale, wao wanae mgombea uraisi mmoja tu ambae ni EDWRD N. LOWASSA.
Nanukuu moja ya maneno ya vikao vyao, "Kwakutumia mamlaka na raslimali nilizonazo, wewe kaka yangu endelea kuonyesha mbele ya jamii kuwa tunatofautiana, tena nipinge hadharani na ikiwezekana kwa kashifa", huku akicheka anaongeza "Nakuhakikishia vijana wangu hawatakusumbua, hilo nitawaagiza kabisa" Mwisho wa kunukuu!
Moja ya vikao vinavyotajwa kuwa vilikuwa namafanikio nikile kilichokalika hivi karibuni ambapo inaelezwa kilinogeshwa na uhudhuriaji wa Rostam kwa njia ya video akiwa Malaysia na kuahidi kuchangia fungu la kutoa kuchagiza kampeni na malengo yao.
Hayo ndio yanayojiri kwa siasa za Tanzania, sio lazima uamini ila tumia akili yako,
"Wale walioamini na wanaoamini kuwa Jk na Lowassa ni maadui, wamefilisika.
Kundi linalounda maamuzi ya mwisho ya URAIS wa Tz kwa mkono wa ccm linaongozo na key-Parsons wasiozidi kumi ambao ni: 1) Jk 2) Lowassa (3) Rostam (4) Karamagi (5) Chenge (6) Mzee karume Rais Mstaafu (7) Nahodha
Inaelezwa kuwa hawa ndio wenye maamizi ya misho kwa sasa na tayari wameshamchagua mgombea urais ajae, inazidi kuelezwa kuwa iwe usiku au mchana, kiangazi au masika, imwagwe damu au vicheko vitawale, wao wanae mgombea uraisi mmoja tu ambae ni EDWRD N. LOWASSA.
Nanukuu moja ya maneno ya vikao vyao, "Kwakutumia mamlaka na raslimali nilizonazo, wewe kaka yangu endelea kuonyesha mbele ya jamii kuwa tunatofautiana, tena nipinge hadharani na ikiwezekana kwa kashifa", huku akicheka anaongeza "Nakuhakikishia vijana wangu hawatakusumbua, hilo nitawaagiza kabisa" Mwisho wa kunukuu!
Moja ya vikao vinavyotajwa kuwa vilikuwa namafanikio nikile kilichokalika hivi karibuni ambapo inaelezwa kilinogeshwa na uhudhuriaji wa Rostam kwa njia ya video akiwa Malaysia na kuahidi kuchangia fungu la kutoa kuchagiza kampeni na malengo yao.
Hayo ndio yanayojiri kwa siasa za Tanzania, sio lazima uamini ila tumia akili yako,