Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,506
- 14,369
Taarifa za kiinteligensia zinasema hilo ni suala la kiusalama zaidi. Maana haichelewi kuandaliwa 'maalum' kwa ajili yake toka huko wanapopajua. Kujiepusha na ya mwakyembe katoka na yake sandukuni
Dr Slaa anaona mbali maana angevaa hayo ma track suit yao angekua kama Mwakyembe... Mungu wa mbinguni azidi kukulinda Dr wa ukweli