Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Kitila hata mimi nilijisikia hivyo hasa kabla ya kusoma tamko lenyewe. Nadhani Rais anapoteza nafasi kubwa sana ya kuamsha taifa! yaani kama kuna mtu kajaliwa kila kitu mezani na anashindwa kutumia sijui kama atatokea mwanasiasa mwingine Tanzania atakayekuwa na "mambo yaliyomkalia sawa" kama JK.