JK Awafunga goli watanzania, wao washangilia!

Jamani Mmesikia Muungwana Kaoa Mke Wa Pili Ambae Ni Mtoto Wa Zakia Meghji?kama Kuna Mtu Ana Habari Zaidi Atumwagie
 
Duuh! Niliambiwa binti mmoja wa yule mama kaolewa na mbunge wa Kwela; na mwingine aliolewa na mtoto wa aliyekuwa mkuu wa majeshi..kumbe mwingine alikuwepo tena!
 
ndo kama hivyo ninavyo sikia,sijui inakuaje tena hapa,ama nikwakua dini inaruhusu.
 
Kuwa involve US Secret Service, Scotland Yard, WB na IMF central bank kunaweza kuwa counter productive katika mambo ya national security.

Tumekwisha, ndani hatuna mtetezi, nje nako utata kibao!

Pundit unaposema kuwainvolve hao watu tutakuwa tunacompromise security, swali linakuja are we secured now? Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa hao wote uliowataja hapo juu wanaijuia serikali yetu vizuri kuliko sisi wenyewe tunavyoijua. Slaa alivyokwend US kujaribu kudokeza watu wa US kuhusu ufisadi Tanzania aliambiwa mbona wewe unachojua ni kidogo tu? Wanatujua vizuri sana kuliko wenyewe tunavyodhani tunajijua!
 
ni kweli kabisa Mwkjj, ila hata kama captain kafunga goli ukweli unabakia kwamba referee ndio mwamuzi wa mwisho, kwa hiyo sisi wananchi ndio refeeree (kama tukiungana kwa msimamo); hii ndio kusema huu ni mwanzo wa kuendelea kumshinikiza achukue hatua zaidi, mfano mzuri ni ukweli kwamba hatua hii iliyofikiwa SI JUHUDI ZA JK, bali ni JUHUDI ZA WAPINZANI NA WANACHI WENGINE WAPENDA MAENDELEO.

sasa basi kama ameshinikizwa akafikia hiyo hatua, na kwa kuzingatia kwamba baada ya madai ya upinzani bungeni serikali walikanusha vikali, niwazi kwamba mawazo yako yanatakiwa yapewe msukumo na wananchi waeleweshwe, kwa kufanya hivyo kila kitu kitashughulikiwa kama ulivyodokeza.
 
Jamani Mmesikia Muungwana Kaoa Mke Wa Pili Ambae Ni Mtoto Wa Zakia Meghji?kama Kuna Mtu Ana Habari Zaidi Atumwagie

Handsome boy alioa mwaka jana mwezi wa pili,nachokifahamu alioa jimama la kiarabu ambalo linasemekana ni li dada la Rostam.Hivi tabia ya kucheka cheka ni ugonjwa upi??
 
Naomba ndugu watanzania wenzangu tuwe tunachukua note na tusiwe wakukurupuka. Hivi majuzi tu tumeshasahau jinsi Dk. Slaa na alivyo aliyosema na sasa tunampa pongezi huyu Kikwete. Tukiwa ni watu wakufuatilia mambo kwa kuweka mtiririko nadhani ageumbuka vibaya sanahuyu Rahisi wetu japo baadhi wachache washagundua. Na sasa basi kwa busara tuanze kuelekeza pongezi kwa Dr. Slaa kwa maana yale aliyosema yamethibitika japokuwa si yote waliyoainisha, na next time tusichukulie mambo haya kama porojo za "wapinzani" tuwabane hawa viongozi. Nimeweka quote katika wapinzani maana inachukuliwa na watu wengi kuwa kila watakachosema wapinzani ni cha kupinga. Naomba hili liwe somo natukae tulirefresh akili zetu nakuanza kuunganisha mlolongo.
 
Haya wana ndugu hoja zenu nyingi mlizozitoa hapa zitatoka kwenye makala yangu kesho kwenye gazeti la Tanzania Daima..
 
Sanda Wameshakula Na Pipa Majira Ya Mchana Na Wengine Wameondoka Na Klm Usiku Hiyo Ni Latest Tu Lets Pray Kama Watarudi
 
Sanda Aliejengewa Nyumb Ni Hilo Toto La Kiarabu Yaani Dadke Rostam Azizi,,yaani Shemejie Jk
 
Serikali ya awamu ya NNE inafikiria wananchi bado wamelala na kwamba wanaweza kuwaburuza (kufanya) wanavyotaka. Wanasahau kuwa awamu hii tofauti na awamu zilizopita....wananchi wengi haswa vijana wana ari na uchungu wa taifa lao na vile vile kuna nguvu ya DOTCOM ambayo inatufanya sote sisi tukusanyike hapa Jambo Forum kusoma na kuchangia hoja nzito zenye maslahi kwa watu wa Tanzania ambazo otherwise hazipatikani katika media forms za kawaida.
 
Mkuu unaweza kua na point hapa.
Kwa jinsi mmbo yalivyo nakubariana na wewe moja kwa moja.
Alafu muungwana anawahi kumtembela hospital.kama ameguswa sanaaa..........!
Nameneo ya kwamba,"kila kazi lazima ina hazzards zake na hii ndio kati ya hizo hazzards" (yana nitia wasi wasi kweli kweli)

Alafu on the other side of the coin kila kitu hapo kipo fixed na hao hao.Indi,kutembelewa na wakubwa huko india kuwekwa kwenye taarifa za habari na wale yule bwana anayo yasema wanaweza kuwa washa mnunua pia

hapo ndipo napomwona huyu jamaa yeye na washauri wake sio tuu mazuzu bali ma gwe geeee!!yaani raisi ameweza kwenda kumuona mwandishi wa habari soon as alipopelekwa hospitali na picha zikapigwa...balozi wa tz india ameweza kwenda hospitali tena akiwa na waziri mmojawapo wa tz kumuona mwandishi wa habari hospitalini india na picha zimepigwa faster lakini raisi huyo huyo na balozi wetu wa huko usa na mawaziri kibaao waliowahi kutembelea usa hawajawahi kwenda kumuona aliyekua gavana wa benki yetu kuu ya Tanzania hata kuwa na kapicha kamoja ka uzushiii????

hawa watu nawaomba waruudi kukaa chini na kushauriana upya wasidhanie wanaongoza Tanzania Nursery school hii ni nchi iitwayo Tanzania ambayo hata watoto wa sekondari tuuu wanajua kuwa the leaders are damn fake and silent robbers,,silent mifisadiii,silent killers n at the end watoa sadaka wabaya kupita mfano

SHAME ON THEM KWA KUIFILISI NA I DESTROY NCHI YETU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom