Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
hahaaa kazi kweli kweli JF siku hizi imekuwa kama baraza za kahawa pale kariakoo na magomeni.
....wana JF katika hatua tuliyofikia hatutakiwi kudharau taarifa hata moja...uzoefu wangu unanionyesha kuwa kwenye data collection and analysis hata taarifa inayoweza kuonekana ni ya kijinga ....ukiunganisha dots unaweza kuibuka na utambuzi wa maana kabisa....
....mara nyingi informers kwenye maneno elfu moja ....anaweza kuwa amepatia kwa usahihi hata maneno MIA ....Kwa mfano taarifa aliyoleta mdau....ina ukweli ufuatao....
1] ni kweli marekani wameshamdaka rais wetu kifikra..........na ni kweli wana kawaida ya kumfanya rais wanayemdaka ajione hayupo salama bila ulinzi wao....
2] ni kweli watapenda utawala wake uendelee au ikibidi wawe na uwezo wa kutupangia viongozi au ikishindikana wasababishe machafuko tutawaliwe kijeshi na maafisa au viongozi watakaotaka wao,,,..
3]ni kweli ndani ya taasisi za kiusalama kuna watendaji na askari au field men ambao hawapendi hali ya nchi ilivyo.....
4] ni kweli kuna idadi kubwa ya NGO za kimarekani au zenye mkono wa kimarekani ........na nimeshapatwa kuambiwa na afisa usalama mmoja wa nchi moja[sio marekani]....kuwa tuwaeleze watu wetu wajiadhari na ongezeko la mashirika ya misaada ya aina hiyo........kwani mara nyingi huwa mission advance team kwa niaba ya CIA ,,,.....wanapojiandaa ku take over influence mahali..
5]Ni kweli mbega huponzwa na uuzuri wake ...UGUNDUZI WA URANIUM nzuri kabisa duniani...unawakosesha raha marekani hasa ukizingatia uhusiano wetu na china ...wanaogopa itawaponyoka...they one to make sure no one gets near.....thats possible by destruction ili wabaki kulinda amani hapa..
6] NI ukweli kuwa muasisis wa taifa letu alishaonya vyombo vyetu vya usalama hususani JWTZ ....Kutokuwa pro - AMERICANS ....kwani marekani ni maarufu kwa destabilization.......na wana sifa kuu ya kuwatumia viongozi kama big G....kwa mfano they are interms with JK for certain reasons now ..siku wakiona hawasaidii tena au mtandao wake hauwasaidii basi watamtoa wenyewe ..na italeta fujo...MAJEMEDARI WA ZAMANI WANALIJUWA HILI.......
sasa kuhusu hoja iliyombele yetu inawezekana kabisa kuna yaliyoongelewa ikawa porojo lakini kamwe haiondoi ukweli hapo juu...narudia lazima tusidharau information yeyote na dawa mwenye uwezo wa kufikisha hizi data kokote ni bora....siku hizi ni bora kufanya kazi na wachina na warusi kuliko yankees.....so dawa ni kuwagonganisha mapema ili wazuiane wenyewe kutudhuru......wakishaingia wakitaka kufungiana milango tutaumia sisi........