Pamoja na jitihada kubwa zinazo fanywa na Serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama, kuhakikisha kuwa nchi yetu inapata nishati ya uhakika lakini bado naona kuna tatizo la msingi ambalo pamoja na mambo yote lazima litizamwe upya, nalo ni watendaji/wafanyakazi wa TANESCO.
Ni muda mrefu tumekuwa tukisikia kuwa kuna watendaji ambao sio waadilifu wanahujumu shirika, sio wazalendo, watendaji wa aina hiyo hawafai wanapaswa wasafishwe.
Tanesco ni shirika nyeti hivyo ltunapaswa tuwe na watendaji waadilifu na wazalendo kwa Nchi.
Tusisahau kuna vita ya kiuchumi, lazima vita hiyo itapiganwa, haikwepeki. Tunafahamu kuwa baadhi ya mataifa hawafurahii kuona mradi wa Bawa la Nyerere unafanikiwa.
Lazima tuwe na watendaji wazalendo katika vita hii ambao hawatoisaliti nchi kwa masilahi binafsi.
Tujipange kabla ya kupangwa.
Ni muda mrefu tumekuwa tukisikia kuwa kuna watendaji ambao sio waadilifu wanahujumu shirika, sio wazalendo, watendaji wa aina hiyo hawafai wanapaswa wasafishwe.
Tanesco ni shirika nyeti hivyo ltunapaswa tuwe na watendaji waadilifu na wazalendo kwa Nchi.
Tusisahau kuna vita ya kiuchumi, lazima vita hiyo itapiganwa, haikwepeki. Tunafahamu kuwa baadhi ya mataifa hawafurahii kuona mradi wa Bawa la Nyerere unafanikiwa.
Lazima tuwe na watendaji wazalendo katika vita hii ambao hawatoisaliti nchi kwa masilahi binafsi.
Tujipange kabla ya kupangwa.