CCM Inatumia Katiba Tena Kuweka Maamuzi ya Kisiasa. Chadema Hawana Haki ya Kufanya Mikusanyiko Ila CCM Wanahaki ya Kuhutubia Bungeni na Kokote Inchini. Wananchi Hii Inazidi Kudhihirisha Njia Inchi Yetu Inazidi Kudidimia. CCM Wanataka Wananchi Tukae Kimya ili Waendelee Kutukandamiza na Wao Kula Pesa za Walipa Kodi. Katiba Peke Yake Ndio Ingezuia Vitendo na Madaraka ya CCM au Chama Chochote Kile. Leo Hii Demokrasia ya Tanzania Inatendeka Jinsi CCM Wanavyojisikia. Hivi Tuna-Dikteta au King TZ? This Dangerous Dooo... CUF Kweli Mnajiunga na CCM Wakati Wananchi Wamepiga Kura Kukikataa Hiki Chama?
"Katiba ya CCM Haiendani na Mfumo wa Demokrasia ya Mtanzania Leo na Kuendela Mbele"
"Katiba ya CCM Haiendani na Mfumo wa Demokrasia ya Mtanzania Leo na Kuendela Mbele"