MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Ujio wa mweshimiwa Rais wa jamuhuri wa Tanzania wilayani same ni furaha kwangu, kwani wenyeji wa huku tutapata fursa ya kumuelezea matatizo yetu ikiwepo shida ya maji,,,, kwani mbunge wetu Matayo yuko bize sana na Uwaziri..... wapare na wanasame jitokezeni na kero zenu!?
NAPITA
NAPITA