Jk aoga matusi na dhihaka katika status yake facebook kuhusu miaka 50 na amani yetu

Hata mimi siamini kama JK ana muda mchafu namna hiyo atakuwa ni yule jamaa aliyepiga picha na 50cents ili Rais wetu aonekana limbukeni.

kwa hyo Just kidding ana pacha wake anamwalibia, kumbee kuna dr.jk na Just Kidding.
 
kwa hyo Just kidding ana pacha wake anamwalibia, kumbee kuna dr.jk na Just Kidding.

taifa la mazuzu wengi ni rahisi sana kupata rais zuzu,nambo jina la huyo jamaa ambaye ni identical twin na rais wetu mpendwa.aache na ashindwe na alegee kumdhalilisha mpendwa rais wetu. serious nawaambianrais wa nchi yetu tz hawezi na hana muda wa kupiga picha na 50cents.HUYO ATAKUWA KIKWETE TU,NINA UHAKIKA RAIS WA NCHI YANGU HAWEZI. mkome kumsingizia
 
kwa hyo Just kidding ana pacha wake anamwalibia, kumbee kuna dr.jk na Just Kidding.

KWA KWELI MKUU WANGU YAKIANZISHWA MASHINDANO YA WAMBEA HUKOSI, ULIFUATA NINI KWENYE STATUS YA JUHA KUBWA FB NA KUMLENGESHA HAPA JF. nitamshauri JK amtume Othman akukamue umbea ukutoke
 
Nimefungua hii thread nione JK alioga hayo matusi na dhihaka kumbe na wewe unaomba kwa wengine wakuwekee hayo matusi

Kweli JF ni uwanja wa fujo kila mtu nafujo zake! Haya tusubiri

hatujaweka hayo matusi,umeshaogopa..na tukiweka si mapovu yatakutoka..
 
KWA KWELI MKUU WANGU YAKIANZISHWA MASHINDANO YA WAMBEA HUKOSI, ULIFUATA NINI KWENYE STATUS YA JUHA KUBWA FB NA KUMLENGESHA HAPA JF. nitamshauri JK amtume Othman akukamue umbea ukutoke

ha ha! Acha uoga wa kunguru.
 
Duh jamaa kaiona jumapili mbaya kwake, kumbe JF wala hakuna matusi eeeh? duh anahitaji deliverance!
 
Huyu ata akitoka madarakani nitaendelea kulaani utawala wake hadi watoto wangu nitawaeleza juu ya Raisi juha 2005-2015.
 
Ndo hii kaweka!!
We are a nation formed by people from 126 tribes;who belong to different races and religions;people of different backgrounds:the rich and the poor;the educated and the illiterate,a country with such diversity to have survived for fifty years where several other countries have failed is something to be proud of.
 
taifa la mazuzu wengi ni rahisi sana kupata rais zuzu,nambo jina la huyo jamaa ambaye ni identical twin na rais wetu mpendwa.aache na ashindwe na alegee kumdhalilisha mpendwa rais wetu. serious nawaambianrais wa nchi yetu tz hawezi na hana muda wa kupiga picha na 50cents.HUYO ATAKUWA KIKWETE TU,NINA UHAKIKA RAIS WA NCHI YANGU HAWEZI. mkome kumsingizia

nyie watu vipi? Mbona mwanatuvunja mbavu hivyo? Kwel huyo lazma atakuwa kikwete
 
Ndo hii kaweka!!
We are a nation formed by people from 126 tribes;who belong to different races and religions;people of different backgrounds:the rich and the poor;the educated and the illiterate,a country with such diversity to have survived for fifty years where several other countries have failed is something to be proud of.
Kama Rais,hakutakiwa kutoa kauli kama hiyo.Huwezi kufurahia diversity ya kuongezeka kwa umasikini.Ni statement ambayo haikuhitajika na haina maana yoyote.Eti with such diversity!Umasikini na hali mbaya kwa wananchi vimeongezeka,hii diversity si ya kuwa proud of,sana sana unawapa watu machungu tu.Kazi kweli kweli.
 
Kama Rais,hakutakiwa kutoa kauli kama hiyo.Huwezi kufurahia diversity ya kuongezeka kwa umasikini.Ni statement ambayo haikuhitajika na haina maana yoyote.Eti with such diversity!Umasikini na hali mbaya kwa wananchi vimeongezeka,hii diversity si ya kuwa proud of,sana sana unawapa watu machungu tu.Kazi kweli kweli.

huyo ndo JK (JUST KIDDING).kaudhi sana watu aithee..
 
Hahahaha... Hivi weye unadhani jk anamuda wa kupoteza facebook!...???! Huyo obvious ni mtu kaamua kutumia jina la jk!.. Hata mimi naweza nikaamuwa na kutengeneza id nikaipa jina jk...

unataka kusema id moja inaweza ikawa inatumika na users tofauti tofauti? Labda useme jk hana muda wa kupoteza jf ila fb anao.
 
unataka kusema id moja inaweza ikawa inatumika na users tofauti tofauti? Labda useme jk hana muda wa kupoteza jf ila fb anao.

inasemekana yule ni KIKWETE,sio rais. kikwete ndo anamdhalilisha Rais, lakin Rais wetu ni mtu mzur kabisa. Inahitaj akili km za Newton kuelewa hapo. Sawa husninyo.
 
Jakaya Kikwete
We are a nation formed by people from 126 tribes;who belong to different races and religions;people of different backgrounds:the rich and the poor;the educated and the illiterate,a country with such diversity to have survived for fifty years where several other countries have failed is something to be proud of.


Yassin Miteya ‎:-(

Jackline Michael Really Mr President?


Comfort 'Apocalypto' Blandes Whch country wth an opportunity lyk ours has failed?cite an example

Innocent Ibrahim das true president

Ój Mgąhäłłąh We stil hav a long way to go mr.president..

Mohamed Abdul Its gud thng bt ths crisis of electricity mst b priotized!

Mnyamis Tamim Tamim Ni sahihi mr P lakini ikifikia wengi kua ndio walioelimika patachimbika coz ni ujinga wa walio wengi ndio maana taifa ktk hali hii.

Salum Kihemba Not only that but also the strong wills for developement in both cases is another thing to be proud
Frank Stavick Don't be proud of what others can't do,be proud of the best you have done.

Natasha Kasango get serious plz!


Eric Simbo Mushi word Mr.President..

Shabir Bandali Yes we Tanzanians are proud of our country n people but its the government not your s only but previous ones, one has to think


Abdallah Awadh God blessing our country 4 being peacfully,unity and cooperation


Andrew Mushai that is something we can be proud of but all thanks to Lord cause what He has gevin us is not what other have all the way to 50 years of independent

Augustine Modest Nyami Mr. Prisident we proud and now we are going to be in one tribe its luck!

Berious Nyasebwa But why few are enjoyn the national cake and majority are ignored


Aggie Ndalahwa Maisha magumu , njaa kali , sukari juu , umeme hakuna , petrol juu , sisi wa nani ? Hela haikai vitu gharama . Kweli ndo ahadi ulotupa maisha bora hii kwa kila mtanzania ? Think about it . Inauma sana kwakweli




De Kleinson Kim Proud of stupid and humilation moments from your friends? Proud of your trip to take a snap with 50 cent? Proud of you selling our land in national parks to arabs only coz of few USD and suits? Proud of having a president who is less concerned with our problems? Proud of your party which tend to devide us? Shame upon your face hounorable!

Ali Dewji The trigger word being 'survived'..we have survived, where we should have FLOURISHED. That in itself is a failure which needs to be addressed. Happy 50th and here's hoping that the next 50 will conclude with better utilisation of our vast resources.

Malima Magosho ‎"price fluctuatiön" seems to be da biggest problem Mr. President.

Zey Mauwa Shaban True bt the journey is gettin tougher with each risin sun


Salum Bhoki Sure sir!

Tony Anthony Yah! Shukuru wengi hawajaelimika mpaka ndio maana Unaboronga wamekaa kimyaaaaa kama mayai yanaogopa kupasuka. 10yrs tocome Patachimbika hapa na Tataanza na wewe japo utakuwa nje ya game. Watch your back Mr P!

Mamlo Abdallah ts fifty years without electricity where we gou mr.president.big up?

Comfort 'Apocalypto' Blandes ‎@de kleinson,shame upon hs face again mr presdent 4 tryng 2 mek a fool out of us..

Markus Mpangala JE TUNAWEZA KUWA PAMOJA KATIKA UMOJA IKIWA SOTE TUNA NJAA AU WENGINE WANASHIBA NA WENGINE WANA NJAA?


Raymond Ndimbo It's true bt i dnt thnk if dat thng can continue due 2 several bad thng faced a citzen of dat country u hve 2 check dat clearly Mr Presdnt
Johnson John Shayo Fifty yearz with proud of being the poorest nation.

Abdallah Mrinji Kidumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) na zidumu fikira sahihi za marehemu Baba julius Kambarage nyerere.......

Joshua Edward Joshua DU NINGEKUWA KIKWETE NAACHIA NGAZI WATANZANIA MMEKUWA WAKALI SANA
rk Joel Kusingura Byaruhanga yes your EXCELLENCY. CONGS FROM UGANDA 9 hours ago · LikeUnlike

Dickson Pastory for sure!!! houses and riches are being inherited from parents by peace and security is a gift from God, with brilliant and dicsipline leaders who have sense of humour 9 hours ago · LikeUnlike


Damian Joseph Mheshimiwa kwanza si hatujui kizungu...ila baadhi tu nayoweza kukwambia ni kuwa tumekuchoka tumekuchoka we kama vipi endelea tu kupiga picha na kina 50 cent ila nakuahidi kuwa mwaka 2015 tutapigia kula hata zezeta lakini sio kuwarudisha madarakani tena...nadhani una bahati kwa kuwa unaelekea kuustaafu ila hata mkimweka magufuli au pinda hatuwachaguii....bye have fan with your kids at the white house for the last time... 9 hours ago · LikeUnlike · 3 peopleLoading...


Ellusion Bori DUH...JAMANI NYIE MMEIFANYINYI NCHI YE2 AU MNA LALAMIKA 2 9 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Denice Stephano Mungu Ibariki Tanzania,Mungu Wabariki Watanzania! 9 hours ago · LikeUnlike

Morgan Amani Is it possible to proud for 5o yrs? 9 hours ago · LikeUnlike

Silvan Kiwango ni jambo la kujivunia lkn kwa kutumia mf wa yanatokea jimboni igunga yanatakiwa kukemewa haraka iwezekanavyo wapo wanaoichezea amani yetu imefikia watu wanatembea na bastola hadharani hii ni hatari 9 hours ago · LikeUnlike

Bakari Abdalah that is true, we have to be proud of being tanzanian becouse we are in the peacefull country compare to other countries.what we are required is to join our hand together for the berterment of our Nations 9 hours ago · LikeUnlike

Evarist Kimaro ‎!!!!!....50!!!????? Tunashukuru kwa yote Mr. President wetu. Na Mungu hakubariki uendelee kuna hayo. 9 hours ago · LikeUnlike

Eliakim Jeremiah Ntandu Hakuna cha kujivunia hapa,miaka 50 ya kutokua na umeme wa uhakika,bei ya juu ya bidhaa zinazotumika na wananchi wa hali ya chini kila siku,tuangalie maisha ya mtu mmoja mmoja je kuna unafuu?Tunachojivunia ndani ya 50yrz ni uhuru tu.R.I.P NYERERE save a place in heaven where we can be together forever 9 hours ago · LikeUnlike · 4 peopleLoading...

Gervas William wewe nkiongoz wa nchi ya wananch wanaozungumza kiswahl..tena weng wakiwa hawajaelimika! Sasa unapomia kiingereza unamaanisha una waambia wazungu au waswahili wa nchi yako? Mbona wazungu haja2mia kiswahili kuongelea mambo yao? 9 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Edward Edgar Michael Mr P umesoma ving ulipokuwa secondary tuna ukosef wa vitu vingi na wewe hilo walielewa sasa tunashangilia miaka 50 ya uhuru for nothing walioko madarakani awana uzalendo na nchi yao ila wanauzalendo na familia zao Mr P angalia tulipotoka ni mbali tukifikiria kurudi utapita wewe ila atujui atakayekuja atatufanyia kipi nafsi zinatuuma watanzania 9 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Pascal Daudi ‎....50 years on, CCM bado kina siasa za chuki, uzushi na kuwaogopa wapinzani kwa kuunda matukio ili waonekane wamefanya wapinzani ili wananchi tuionee huruma CCM, ....50 years on sasa wapiga kura wanauelewa zaidi na HAWADANGANYIKI! 9 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

John Shija Coz we have peace let work hard. Ok 9 hours ago · LikeUnlike

Godfrey Assenga very proud. 9 hours ago · LikeUnlike

Hussen Ijango MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA 9 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Humphrey Maroa wengin hata hamsomi mada kabla ya kuchangia. punguza majungu jamani.... big up mr p. som loudmouths nevr crss bounderies 9 hours ago · LikeUnlike

Senior Rashid Abdallah Ni AMANI GAN na UMOJA GAN UNAOUZUNGUMZIA?Hv kuna UMOJA KWELI hali ya kuwa kuna KUNDI ktk nchi hii linalia LINABAGULIWA?hv kuna AMANI KWELI Ikiwa kuna kundi ktk nchi hii HALISIKILIZWI?hv unafikir PROPAGANDA ZA AMAN NA UMOJA ztadumu MILELE? Tunamacho bt HATUONI je kuckia PIA? Ucpozba UFA utajenga UKUTA. 9 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Steven Mwakyusa HIVI TUNA AMANI AU UTULIVU? NIJUAVYO MIMI HAKUNA AMANI NCHI HII, LABDA AMANI YA WACHACHE 8 hours ago · LikeUnlike

Juma Setumbi Yes MR.President. Am proud to be a Tanzanian.
We love our country but siasa za chuki,udini zinatuaribia bwana. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Kilambo Mtoro thats right,thank God! 8 hours ago · LikeUnlike

Deo Rogheko Nyantabano Not yet KJ..say this to Illiterate group to the villagers where there's no power or is just the dreamz they're feeling to get at least a pint of kerosene for light and wait for rain season if God wish!!! for field work.proud for what while the country is going by every one & his own sweat, under multiple inflation divide by dark=God bless. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Khatib Maguru Thank u mr president!We do accept t!N w ar 2b unity! 8 hours ago · LikeUnlike

John Shija Uko poa kikwete 8 hours ago · LikeUnlike

Anneth Charles Ni kwel tumejitaid ktk suala zima la kudumisha aman ila bado tuna aja kubwa ya kupigana na ujinga umaskn na maradh jambo ambalo tangu uhuru vimekuwa adui wetu.Mungu ibarik TZ pamoja na viongoz wake 8 hours ago · LikeUnlike

Jerry Acer YEAH WE NEED TO BE PROUD 8 hours ago · LikeUnlike

ute Pa true that sir! 8 hours ago · LikeUnlike

Emmanuel Mwakyusa THATS TANZANIA I KNOW AND I LOVE THAT AND PROUD TO BE LONG HERE BUT WE NEED ELEVETION WITH DIGNITY WE NEEED EMPOWERMENT OTHER WISE NOW THESE TRIBES IS SINKING IN POVERTY ANDBECOME CAPITAL OF TRIBAL WAR BECAUSE OF POLITICS OF MEN THIS NEED ATTENTION LONG LIVE TANZANIA GOD BLESS YOUR GOVERNMENT 8 hours ago · LikeUnlike

Shabir Bandali Johnson john our country is not poor we have rich natural resources BUT where is the wealth going . In some pockets n swize banks 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

umain Mjema un!ted we shall w!n' 8 hours ago · LikeUnlike

Exsuperius George miaka 50 ya uhuru,we are stil n the middle of almost somwhr but nowhr,BADO SANA,MO CHANGEZ NEEDED AISEE!! 8 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Unafiki utatuponza vijana wa kitanzania, mi nilizani mtamwambie rais jinsi watanzani wanavyoteseka, nyie mnamsifia, pembeni mnamsengenya, nazani hapa ilikuwa ni sehemu ya kumwambia matatizo yetu kuna uwezekano washauri wake wanamdanganya, tusiwe wanafiki vijana wa kitanzania, watanzania wanateseka, bora nionekane mbaya kwa sababu sina shida ya ubunge, ukuu wilaya na uteuzi wako wowote, 8 hours ago · LikeUnlike · 6 peopleLoading...

Asante Mambosasa Yes,we have harmony,love for each other but we plan to have poor nation with high rate of illiterace,the nation with no love and peace,the nation with hatred to each other,the nation with lack of proffesional pple,the nation which hate has planted due to politics..,all this comes from the fruits of bad politics ideas and illiteracy from we have many schools but insufficient teachers,katika kuazimisha miaka 50 ya uhuru mr.PRESDENT plz angalia wanafunz tuliofaulu katika shule za serikali kwa sababu masomo tunayosoma si mepesi mfano nasoma PCB' katika shule ya kongwa mkoani Dodoma lakini hatuna waalim wa masomo ya PCB Mpaka leo hii navyoongea na hii imechangia kwa watu wa vyama pinzan kuja shuleni kujaz manen meng katika shule ye2 na navyowasilisha ripoti hii wanafunz wamegoma na kuandamana mara3 kuhusu waalim bila kupata jibu jambo hili linaua uaminifu na selikari yetu kuwafanya wengi we2 kuichukia selikari,hii hujenga chuki isiyo na sbabu katika nchi ye2 na kujenga matabaka Mheshimiwa naomb kuwasilisha. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Dennis MpendaMungu Jitihada zimeonekana ila kuna vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa wanaathirika na madawa ya kulevya ambayo nasubutu kusema yanaingizwa nchini na baadhi ya vigogo serikalini wanaosafiri nje kwa shughuli za kiserikali. 8 hours ago · LikeUnlike

Kassim S. Mwitondi That is a big claim of which we are all proud. identifying the attributes which keep us together and ensuring their sustainability is central to maintaining and enhancing that state. We must therefore work hard to ensure that all drifts in the identified attributes are addressed in a timely manner. Land-related issues in particular... 8 hours ago · LikeUnlike

Siinya Broo Mmmh,Proud of our country but we hate our goverment.50yrs serekali ime2peleka mbele hatua 3 na ku2rudisha nyuma hatua 5000000.so mr Presdent unadiriki kusema ur proud.its like lead a class of 50 students in exams unasema unaongoza kumbe unaowaongoza ni ziro coz una 10% hao 49 wana nini kama wewe unawaongoza hata D hukupata?u must be proud eeeh? 8 hours ago · LikeUnlike

Faris Nassoro ‎4 for that I salute the pple of United Republic of Tanzania. Hakuna ukabila, wote ni watanzania. 8 hours ago · LikeUnlike

Reginald Petro Thanx to Mwl JK Nyerere the initiator of this diversity and Peace......I thought that could be the source to our speedway to generate the state of development and equal opportunities to all but am so dipressed that ppl we trusted that they could lead us to the advanced levels of developments are the one who have turned to bandits who are now discriminating our countrys economic pitlessly,making the gap btn rich and poor grow bigger........We have nothing to proud of but we have some one to pile our praises to.......Mwl JK NYERERE. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Jahmalik Mlanzi Hongeara na Nazi nzuri qua wachangia Mada amabao mmetoa mawazo menu yabkukosoa na kueleza Hali halisi ya his nchi, qua amabo bade mawazo menu yaks gizani Kama Hali ya umeme shauri menu,ndio mnaosabibisha nchi kuzubaa wadi iliposasa kutokana na kutokuwelewa wajibu went kupiga Lura au kukosoa viongozi.....sink manna ya hiyo miaka hamsini ya uhuru wakati Hali inazidi kuwa mbaya,Nora mkolono angebaki.. 8 hours ago · LikeUnlike

Goodluck Godwin tujivunie utanzania sawa ila tupiganie rasilimali zetu zitukomboe 8 hours ago · LikeUnlike

Fanuel B Deeng'w Ndiyo, wananch wa kitanzania hawapigani vita. Lakini kitu cha kujiuliza mr president kwann usidhibiti mfumuko wa bei? Chukulia kwa mfano sukar kg 1 ni zaid ya sh2000 bati na saruji 17000elf. Mr president hebu endelea kuisoma hiyo, kwamba watanzania wengi ni fukara wa kupindukia kwann usiwatendee mema kiuchumi ili na wao siku moja wakukumbuke! Hivi ukipunguza mishahara na marupurupu ya Wabunge na mawaziri kisha kuwapa hao mafukara kwa namna iliyo sahihi zaidi wataacha kukukumbuka? Please mr president tuokoe katika lindi la ufukara ili nasi tuweze kutumia rasilimali mbalimbali za nchi yetu. Sote ni wapitaji na hakuna haja ya kubaniana riziki. Nakutakia utekelezaji mwema mr president kwa manufaa ya Umma wa watanzania. 8 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Jacob Mwashiozya Well said Mr. President. 8 hours ago · LikeUnlike

Semper Fidelis Maxmilian Joseph we a proud of a such thng! bt viongoz hawawajibik,nilkuwa nafuatilia kikao cha wa2mish wa umma na dada ye2 hawa ghasia alkuwa kuna vitu akiviorodhesha mbele yako nilfurah kwakuwa vngne ulvikoxoa bila woga kama mkuu wa nchi! dats gud kip it up ucangalie xura wala undugu! 8 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya J.k sina cha kujivunia miaka 50 zaidi ya kushuhudia yafuatayo
sukari imepanda,
mafuta yamepanda,
tanzania ya giza,
ajira hakuna,
tofauti ya masikin na tajiri ikizidi kuongezeka,
ufisadi wa kutisha na wahusika wakitanua bila kuchukuliwa hatua,
huduma ya maji mbovu,
elimu inazidi kushuka,
udin na ukabila unaonezwa na chama chako,
wizi wa maliasili,
ukiukwaji wa haki za binadamu,
mi kwa miaka 50 mh rais sina cha kujivunia, wapo wanafiki na wachache wanaonufaika na mfumo wa serikali watajivunia 8 hours ago · LikeUnlike · 4 peopleLoading...

Damian Joseph Jamani eeh hakuna haja ya kucomment tena si mnaona mtu mwenyewe hajibu...yupo busy anapanga kesho aende kutalii nchi gani na apige picha na superstar gani...tusijisumbue bure.. 8 hours ago · LikeUnlike

Malambi Raphael We can't proud poor!

Jitazame wewe na serikali yako 8 hours ago · LikeUnlike


Shadrack Wilson Wegoro ‎50 yrs is not wot the new tanzanian generation wants to know mr.president....the matter is wot the government under ccm has done 4 them as inheritance....electrical insufficiency,water shortage,poor infrastructures,corruption and embazzlement, poverty. then tunasherehekea miaka 50 ya uhuru....wot the hell is this mr.president. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Edward Edgar Michael Tusikae kumjadili aliyempiga kibao mwnyi namanisha ukizungumzia kuhusu madawa ya kulevya ndugu utakuwa unajisumbua mana wanayoyaingiza ni hao walioko serikarin so ebu tuangalie tunaenda wapia na tulipotoka je ni kipi kilifanikiwa pia ebu kumbuka MR P shule uliyosoma wewe je iko kwnye hali gan huwa mnajisahau mkishafika uko mlikokuwa mnakutaka ebu tujifananishe na kenya awana wana ziwa moja tu ila atuwafikii ata kidogo vijijin wanauza mjini wananunua ila bado wanakufa masiki atumaanishi kiti uachie wewe akae profesa apana naomba nieleweke mana mi sio mwanasias 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Morgan Amani Mr president hii nchi umeishindwa ni bora uachie ngazi. 8 hours ago · LikeUnlike

Mwita Riro True Tanzanians have every right to be proud.126 tribes yet folks relate very well.42 tribes in my country kenya yet I am sure I or any of tribesmen stand zero chance of heading kenya because we r from a tiny tribe.Despite the challenges Tz faces better times lie ahead.The citizenry must guard their wealth jealously and hold their leadership to account. 8 hours ago · LikeUnlike

Odrano Mwanana its true hon president but we are madly tired of this issue of electricity please do something we love our president and we will go no loving you have a nice sunday 8 hours ago · LikeUnlike

Ibrahim O. Ndete Yote hyo tunashkuru mungu lakn swala la mtu kupewa nafasi mbili mbili z uongoz zinaniudh sana mana kuna watu weng hawna ajira n wana uwezo wakufanya kaz hzo lakn hawapewi kwann mr president lifikilie hilo. 8 hours ago · LikeUnlike

Francis Wawino beside sio wote wanaongia fb wanajua kiingereza...WE CAN'T EVEN B PROUD OF OUR SWAHILI LANGUAGE..poor tz 8 hours ago · LikeUnlike

Edward Edgar Michael Mwacheni achague sehem ya kwenda kutalii mana alichokiandika na yeye mwenyewe aviendani ajaonyesha ushrikiano inamana aliwaandikia wananch wa kenya au wa kijijin kwao au alizan kuna mtu atamuunga mkono kwa miaka 50 for nothng 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Gullam Abbas haha haha haha yaan tunajibizana wenyewe where is he? 8 hours ago · LikeUnlike

Yusuf Mohamed Lau ningekuwa Rais wa nchi oneday..!!! Ningekuwa nafanya hivi: mshahara wangu wa miezi6 ni kwa ajili ya kusaidia watoto wa kimasikini kimasomo, na ninge fanya hivyo mpaka natoka madarakani. 8 hours ago · LikeUnlike

Reward Bright I dönt thnk if your Tanzanian President wewe unafaa kuitwa Rais wa Bata becoz we daily unaxafir 2 kaa nchni kwako fanya kaz wananch wako wanakufa na njaa 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

eginald Petro Ni vizuri maada imechangiwa bila unafiki watu wako wazi kasoro wachache nahisi wana uhusiano na huo mfumo uliochosha,Mheshimiwa soma alama ya nyakati hiyo amani na umoja uliojicfia ucfikiri cku ya kupotea kwake hawa wachangiaji watakuandikia barua NO,soma mawazo yao chukua hatua mapeeeema,tena anza kuandika kiswahili ili upate mawasiliano mazuri na watu wako uctafute cfa kwa wazungu kwa kuwaficha watz wasiojua kizungu wasijue umesema nn. 8 hours ago · LikeUnlike · 3 peopleLoading...

Catherine Mock Mr President yes its 50 years of piece Congratulations for that; on the other hand look at your people, where are the social services? The education system is dying at alarming rate, health care service is for the wealth. If Mwalimu had forced the citizens to pay for their own education or health care service ata wewe usinge soma. So are we calling it 50 years of derailing the system or what? 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Selemani Namtumba Kweli tunakila sababu ya kijivunia na kusherekea miaka 50 ya uhuru wetu,lakini je mr.president mtu unaweza kusherekea sikukuu ikiwa kwako kuna msiba?,mh.rais nchi bado haitunufaishi wananchi. 8 hours ago · LikeUnlike

Moses Mkinga Maisha bora 2nayaona kwenye ndoto 2. 8 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Mh gari ulilopanda wewe, wapambe wako, na wanafiki wachache ambao hawako tayari kusema ukweli sisi tumeishalishuka kitambo, tunasubili gari jingine lipo kwa nyuma lije tupande, gari lako mheshimiwa dereva wake nikipofu hawezi kutufikisha tunapotaka kwenda, tunawatakia safari njema huko muendako ambapo hampajui, 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Damas Joachim Tarimo Umeshindwa kuongoza nchi. 8 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Edward Edgar Michael Eti jaman kuna asiyejua kingereza apa 2ngekuwa atujui 2singecoment ila kwann atak kutujibu unajua ni zarahu alaf kuna wanafk wanajifanya kuunga mkono hao ndo wasioelewa kingereza achen ujinga kupelekwa kama ma kuku yeye ni kama sisi sema kidogo 2namuita muheshmiwa akuna anayetaka kuteseka 8 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Nay Barbie It is almost tym hon presd to implement prove ya hero ur our presdnt nat fo your stutus action sound beter than words big up 8 hours ago · LikeUnlike

Erick Makyara hilo 2jipongeze watz wote kwa kumaintain peace ktk nchi ye2 lkn pia 2cwe wakandiaji 2 angalau ukilaumu toa na maoni yako kua presdaa afanyaje sio kupondea 2 nahic wachangiaji wengine walishaugua kichaa ktk utoto wao. fb 2i2mie kwa manufaa c kum2kana mh raisi. Anapaswa kuheshimiwa hata kama hukumpigia kura lkn ndo rais wako. 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Mh iv saiv umegeuka mbayuwayu, we kila siku upo angani, waziri wako wa mambo ya nje anafanya nini, au bado unafikili we ni waziri wa mambo ya nje, na hao wakina 50cent na wakina naomi campbel ndo wawekezaji unaotutaftia mh, unajua chama chako wamegeuka magaidi igunga wanatembea na AK47 viunoni, au ndo mnataka kutawala kwa mtutu wa bunduki 8 hours ago · LikeUnlike

Robert Siemi Amani iko wapi rais.. ujinga wetu na kutokua waelewa ndo maana twakubaliana na kauli hizi za uongo kwamba TZ ina amani.. umasikini usio na mfano wazidi waandama watu wako Mkuu 8 hours ago · LikeUnlike

Hamisi Issa Nilikua na nia ya kutoa maoni yangu lakini da! Mheshimiwa kaniacha kweli, darasa lenyewe la saba nitaelewa nini?neno ninalolijua ni yes na no tu nimejitahidi sana water. 8 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Oya bro kikwete...ka vipi jito fcbk maana naona haujibu comment wala ufanyi chochote..na ndo mana sijiskii kukuita mheshmw...kwanza siku hz we si ndo waziri wa mambo ya nje sa huko ikulu unafata nn? 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Boniface Mkuya Najivunia kuwa mtanzania lakini c kuishi tanzania God why this? 8 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya We erick makyara funga mdomo wako, watanzania wanateseka we unaleta unafiki wako hapa, toka cmment ya kwanza mpaka ya mwisho hakuna aliemtukana rais, unajipendkza unafikili utapewa ukuu wa wilaya kama nape, kwani baba yako alikuwa ni nani nchi hii, ana ukaribu na watawala, kama hakuna kaa kimya haumo kwenye listi ya mheshimiwa watakaoingia kwenye safina lao, 8 hours ago · LikeUnlike

Samburu Kabaka «like» 7 hours ago · LikeUnlike

Bruno Joseph Is this page real 4m presdnt 7 hours ago · LikeUnlike

lucetha Reuben Swai ITS TRUE SIR,CONGRATURATION IN EVERYTHING YOU DO OR DID,TUPO NA WEWE MUHESHIMIWA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO TANZANIA. 7 hours ago · LikeUnlike

Robert Lyimo Sasa baba riziwani mi nimekuchoka, yatosha bana! 7 hours ago · LikeUnlike

Eshack Deo Mhe. We si PHOTOHOLIC bas ukirud nchini mfate na 20% kule kisarawe Upigenae picha bas ye mbona anaimba kuhusu maisha yetu yalivyo magum lakn umempotezea. UNATUZINGUA NA NGEL YAKO YA KUUNGA UNGA! 7 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

amian Joseph Masaa 24 ya mr president yako hv...masaa 6 (kula na kujaribu suti alizopewa ) ..masaa 6(kupiga stori na washkaji zake na kufkria asafiri kwenda wapi)..masaa 10(kutalii nchi mbalimbali na kupiga picha na kina 50 cent pamoja na kuuza sura kwenye vyombo mbalimbali vya habari)...saa 1(kuwadanganya wazee wa chama na kupiga stori na wanachama wake kuhusu chaguzi mbalimbali pamoja na kuteua masela wake kushika vyeo mbalimbali).. dakika 45(kukaa na familia yake).. dakika 10(kuskiliza mawaziri na wabunge wanataka nn kuhusu mishahara yao)..dakika 3(kuskiliza wananchi)...dakika mbili(kushughulikia matatizo yao ) 7 hours ago · LikeUnlike · 5 peopleLoading...


Batholomew Gareya Mh uje na kale kachenji ketu karadar 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Soud Marhoun oh Allah.....!!! bless Tanzania and her Lovelly people...!!...aamiyn inshaAllah 7 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Skia batholomew ...mi nahsi erick ye ndo uliwahi kuumwa utahira.. 7 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Fatma Omary Exactly hon President of what u mentioned especially on the issue of divesities some how is the big achievement,how many countries fight each other because of their cultural diversities,religious fundamentalism like in PALESTINA AND ISRAEL,but we Tz we are sailing on the same boat!for my self i thnk ths argument is true, 7 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Theo walcot fit for the next game, gud news mh mshbiki wa arsenal acha nimpe hii habari, nyie mnampa matatizo ye si alishajibu hajui kwanin sisi masikin na hajui matatizo yetu, mh match ya arsenal na olympiacos ni j5 19.45 nazani mtashnda, theodory walcot ni mzima usiwe na waswas na timu, au paa uende emirate ukaichek game, usisahau kupga picha na arsene wenger umkumbushe kuwa aje apate kikombe cha babu waondoe mikosi, 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Kuna mitoto humu si inanufaika na mirija ya kifasidi, na unafiki ndo umewajaa, mi nazani bado hajapona utahira huyu erick@damian joseph 7 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Battery low, mheshimiwa ngeleja bado hajaludisha umeme wake

fatma omary bado una njaa ya kupata viti maalumu jitahdi kujipendkza, 7 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Tony Njeru You call rich vs. poor and educated vs. illiterate diversity? I think the word you're looking for is disparity. However, different races, religions, tribes and backgrounds IS diversity. 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Edson Mgimba We jamaa usitake ku2ona cc wajinga 2cio kuwa na upeo wa kuelewa mambo, we ni kikwete wa wap ? who is reach and poor, who iz illiterate and educated ? 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Damian Joseph Hahahahahahahaha...
yani nimecheka mpaka hapa nlipo watu wamenishangaaa aisee
we batholomew hyo taarifa ya walcot duh..
kweli inamfaa huyu bwana mkubwa.. 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

King Maridadi Esdory umaskin ndo tunaojivunia wa tz. kunajingine? we presidaa? tunajuta kuwa na majitu yasiyo wajibika 7 hours ago · LikeUnlike

Brendah Lee Najuta kuzaliwa TZ. Nchi yenye amani bila UTULIVU. Nchi yenye amani bila kujali wananchi wake. 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Iv unafikil kuna taarifa ya kumpa mh zaidi ya hiyo, matatizo yetu hayajui mjomba@damian joseph 7 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Brendah usijute kuzaliwa hapa juta kuwa na rais aliyechaguliwa kwa kigezo cha uzuri wa sura, kuwaita tmk wanaume waje kuperform na kujiita kijana huku wakati alikuwa na miaka 55.. 7 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Batholomew Gareya ‎37 inbox za matusi na vitisho, aya mnaonitukana endeleeni, kwakuwa sijatumia lugha mbaya sina hatia, mh usije ukawambia task force wakanishughulikia mi ni kamtu kadogo sana hakajai hata kwenye kiganja, sababu hao jamaa wapo kwa ajil ya maslah binafsi na sio kulinda maliasil zinazobebwa na madege ya kijeshi ya qatar, 7 hours ago · LikeUnlike

Fatma Omary You knw what @gareya-in analysing issues we have economic issues,political issue and social cultural issues on which mr presdnt argument fall under that category and on the side of social-cultural issues i thnk its true 2b proud of-But those which u blame is economic issues and suppose presdnt ask us to b proud with economic issues ts where exactly i can put my comment on that issue.but if what he share am on his position Tz somehow dats z not problem compared to other categories! 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Asha Sultan yahp we should be glad and thanx God for every 7 hours ago · LikeUnlike

Peenal Pankaj Asar Yes, my Tanzania is unique! Love you! 7 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Gud now we are on the same track@fatma omary 7 hours ago · LikeUnlike

ing Maridadi Esdory aaaah?? desk top limezima umeme ni mpaka 8 hours. 50 yrs of slavely not freedom. uko huru vip. wakati huna uhakika wa kesho!? 7 hours ago · LikeUnlike

upal Ganatra a lot of the problems are simmering under the surface, many people here are too scared to say anything.... and change is good, stagnation is death 7 hours ago · LikeUnlike

ssim Collins jamani ningekuwa rais, nisingeileta hapa hiyo stata ya kifisadi, ningesoma Alama za nyakati na kukaa kimya kuliko zuzu, pole prezdaa, ukijiweka kwa watuhumiwa usimlaum atakaye kudhani vibaya, hongera kwa kuongoza taifa lililosheeni mafisadi. Huku ni kudhalilishwa, jitoe kwenye fb, kama huna la kuongea nyamaza itakuwa bora kwako. 7 hours ago · LikeUnlike

Click Clack Poow Hiv sisiem inaposema 2ichague kudumisha amani inamaanisha 2sipowachagua watakinikisha au, coz alieshinda hana haja ya kuleta vta. Hebu acheni kuwadanganya bb ze2 tekelezeni majukum yenu. 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

holomew Gareya Jaman mnaonitukana inbox samahani kama nimewakera, mi naondoka sichangii tena, kwaheri vasco da gama, 7 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Batholmew ni inbox mara moja maana naona kama yanayokutokea na mimi ni hvy hvy.. 7 hours ago · LikeUnlike

Asha Sultan ofcourse we should be glad and thanks God in everything that he gave us what we should do is to be us and to know who are we, what are we doing, where are we, as well as what do we have then to fight so that to build, develop them well by working hard with our skills knowledges with energy by using our own hands. we love u our prezo! nice evening. 7 hours ago · LikeUnlike

atholomew Gareya Damian kwa hiyo tuanze kumsifia rais wa masharobaro, 7 hours ago · LikeUnlike

Geza Ulole Mh huko Igunga mama mfuga nguruwe amesilimishwa na Masheikh na Maimam kisa chama chako cha Magamba kipate kuwagawanya wapiga kura ati kitendo cha kukamatwa kwa DC na wana CHADEMA aliyekuwa eneo la kampeni la CHADEMA (kinyume na sheria za NEC) alidhalilishwa kwa skafu kudondoka na kudhalilishwa kwake kulilenga kudhalilisha Uislam! sasa hiyo religion tolerance unayoiongea hapa inatoka wapi? au unakosha koromeo lako? Chama chako cha Magamba hakijakemea tamko la Waislam kutopigia kura CHADEMA huko Igunga! Uache Unafki baba... 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Eshack Deo Asha sultan < mbwembwe nyingi wakat ofìsin kwako hakuna umeme, acha kujitoa akil na kusifia ujinga. Unajua gvt yako imewaongezea sh.ngap katika mishahara ya civil servant? 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Islah Ali Hongera raisi mwenye macho haambiwi tazama ingawa tatizo la umeme bado ni mtihani 7 hours ago · LikeUnlike

Fatma Omary Ok@gareya dont b harsh i thnk u understand what i meant, 7 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

David Msagati ONLY ELECTRICITY REFLECT THESE 50 YEARS AS A SHADY COLONY WHICH HAS NO VISION KAMA ALIVYOSEMA KOLIMBA ( ......DIRA WALA MWELEKEO ) MUNGU AMREHEMU NA WALIOMNANIHII MUNGU AWASAMEHE 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Asha sultan tumshukulu mungu hata kwa umaskin, dhuluma, urafi wa madaraka, uonevu unaoletwa na sisiem, tuache kulalamika kwa mungu kwa jambo amblo lipo ndani ya uwezo, umeme nao tmshkulu mungu et! Njoo kwenye point my sis acha kupinda pinda@asha sultan 6 hours ago · LikeUnlike

Kassim Collins sasa unakashifiwa hata na dini yako, tafadhali ondoa hii stata yako ya uchochezi. 6 hours ago · LikeUnlike

Frank Mdoe Thanx God sikukupigia kura. Anyway, nisikulaumu sana, ninachokushauri...tengeneza forum ya kushauriwa na watu wanaoipenda nchi yetu. May be huna washauri kabisa. 6 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Kassim Collins unaandika vitu bila kufikiri? Huna mshauri mzuri, uliyenaye anafurahia kuona unadhalilishwa wewe na dini yako, hivi nawe mbona unafuata ya mbayuwayu unashindwa kutumia na zako? Kama vile ulivyowashauri wafanyakazi. 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Jr Kawiche But you are failing us. 6 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Atawapat wapi, waliomzunguka wote wabinafsi na wapenda madaraka, huyu hana washauri ana wapambe, sifa kuu ya mpambe ni kufanya jambo lolote ili akufurahishe, mh endlea na wazanzibar wanaitaka zanzibar yao, au wapambe hawajakufkishia 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Alex Felician Poa miaka 50 ya uhuru lakini cdhani kama unayajua matatizo ya watanzania tulio wengi we upo ikulu unakula butter lanikini huku umeme wa mgawo,mafuta bei juu ,linalosikitisha zaidi ni kupanda kwa bei ya sukari halafu serikali yako ipo kimya! Kama nchi imekushinda ni bora ujiuzuru! Naikumbuka sana serikali ya raisi msitafu bwana Mkapa kwani maisha yalikuwa poa kilo ya sukari ilikuwa sh 600 lakini sasa eti 2500! Uhuru gani huu? Big up kwa aliye kuwa raisi wa awamu ya tatu!!!!!? 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Utayajua wapi matatizo yetu wakati unapaa angani muda wote, ukiwa ikulu unaangalia katuni, 6 hours ago · LikeUnlike

Mangi Musa Hongera baba,but am co proud smhw coz.....! 6 hours ago · LikeUnlike

AdVes Pro MUNGU AWABARIKI WOTE, NA KILA WAJIBU UNAOFANYIKA KWA MASLAHI YA WANANCHI ATAUBARIKI NAO UTATHIBITIKA TU KUKIWA NA UAMINIFU NDANI YAKE. 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Frank Sangija it's realy my president we shuld proud of being in good peace in which other nation fight for 6 hours ago · LikeUnlike

Edward Edgar Michael Kama kungekuwa na option kabla ya kuzaliwa unaulizwa unataka uzaliwe wapi nais tanzania isingekuwa na watu mana akuna mtu anayepnda kuzaliwa kwnye nchi ya ajab ajab kama hii niache kuzaliwa mbele ambko akuna tazito la umeme wa ajira nije uku kwnye tabu mwenye madalaka wanatutesa nimeamin serikal yetu awez kula na kipofu 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Wewe asha sultan hebu njoo ujibu maswali yangu kwa niaba ya vasco da gama, hebu njoo haraka huyu rais ameishapewa mamizinga ya konyag kazima saiv, asha njoo online tafadhal nina maswal kwako, usisifie ukakimbia@asha sultan 6 hours ago · LikeUnlike

Benedicto Mondi sometimes we need to b realistic n say positive things, in reality we have taken a huge step for 50 years, no chopping of hands has was done by wazungu, no lack of educatn to all ppl but only sons of chiefs, no racism, we hv power in our own country and talk good thngs n craps as we do, we r able to walk frm 1 place 2 another n 2 other countries without fear, hata umeme tunaouongelea haukuwepo kama ulivyo sasa hv, we hv roads which were never there, ppl r able to built homes, but in 1976, ungeulizwa umetoa wapi, jamaaani we need to look for the step tumechukua, usiombe kuishi as an alien in ur own country, kama sudanese, somalis, libyans etc. Lets be proud n look it in the real way kwa kuweka siasa pembeni 4 a mmnt.....though meingine yanudhi 6 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Kaka kikwete kumbuka mwanzoni watu walikuwa hawampendi sana mkapa lakini leo anaonekana kama ndo alikuwa mwokozi na mtu aliyeiongoza nchi vizuri...si hatukulazimishi kuipenda nchi ndo mana hata mkapa serikali yake wezi walikuwa wengi na wanaiba sana tu ila alikuwa na sera nzuri ya kuiendesha nchi ...si tunachotaka hcho..we kama unaweza kuiba tanzanite yote iwe yako ila maisha yawe bora kweli kweli basi fanya hvyo...coz hizi rasilimali hazina maana kama hakuna maendeleo yoyote...I HATE YOU MR.PRESIDENT ...YOU EVEN DONT DESERVE TO BE CALLED HONARABLE...waheshimiwa ni sisi wananch wako unaopaswa kuwatumikia 6 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

Mbabazi Deogratias Mwlimu Julius Nyerere's (RIP) ujama is the reason Tanzania has remained coherent with no greed for power tendencies. This culture of Easy &well organised come & go has been embedded into the Tanzanians despite the capitalist/ individualism philosophy. 6 hours ago · LikeUnlike

Ritzy Juma Tu na sherekea miaka ya uhuru 50 ila matatizo ndani ya nchi aya ishi, umeme ni tatizo lamiaka yetu ya uhuru tatua ili tatizo wa tanzania tutashukulu 6 hours ago · LikeUnlike

Jackline Stanley Niko pamoja na ww ALEX yaani bora mkapa au mzee we2 mwinyi. Lkn ya leo makubwa kutoka sukari kl 6oo mpaka 2500. 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Emmanuel Nkone STOP FOOLING AROUND BIGIE. Preeching of peace is nothing but HYPOCRICY. Tanzanians, we r not free in our own country. How can some1 have peace while he's got nowhere 2 go 4 work, no food 2 eat, being compeled 2 move away from their own land. U R MODERN SLAVE MASTERS. 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Wewe sio benedict mondi niliyesoma nae umebadilika kwel, au mwenzetu unanufaika na mfumo wa kifsadi, mbona unazungumzia mambo madogo yenye majibu mepesi, hebu funguka tukuelewe@MONDI 6 hours ago · LikeUnlike

Fatma Omary Jaman kuongoza nchi ni kazi si ya kitoto,lawama nying wala hazijengi kwanin 2nakua wakulaumu tu,kwanin sasa tusitoe solutions rather than blaming a lot,we ar human being we ar not perfect i thnk the wise thng as we ar tanzanians and if most of commentators blame about advisors so let us advice presdnt,but if we keep on blaming i dont thnk if we will end the problems!na matatizo yameumbiwa watu wala si wanyama..sasa tangu mwanzo lawama tu ye atajua mbinu sasa bila kumpa!halaf cdhan kama 2meelewa mana lawama nyng ni kuhusu uchumi,nadhan ungekua mtihani 2ngefail wote sasa akija kuleta status ya ku2taka 2changie kuhusu uchumi na siasa 2tachangia nini ?let us be specific and argue on the same line concerning the issue! 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Tatizo bariz hashauliki@fatma omary 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Damian Joseph Benedicto...hv unapozungumzia kuitetea serikali ni amani amani amani tu hakuna lingine..mbona botswana,south africa,syshelles,china,russia,switzerland,brazil,...zimeendelea na hakuna vita...kwani unadhani hli ni swala la kuchagua kati ya vita na maendeleo...NOOO!! tunahitaji vyote bwana nyie watu vipi..amani amani amani..imetusaidia nini kwenye maendeleo yetu..
au kazi ya serikali ni kudumisha muungano na amani peke yake!!jeezz!! 6 hours ago · LikeUnlike · 3 peopleLoading...

Batholomew Gareya Hawa nao si vichwa nazi tu, wanashndwa kuelewa tunataka nini wanatuambia aman, aman, aman, mh si tumechoka tena sana, mh mi siku uwa sitaki hata kukuona, ulikuwa kipenz changu 2005, lakin uliyotutendea yanatosha, 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

tu Robert Big up Mr.President...wenye akili timamu wameuelewa ujumbe wako,stay blessed 6 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Ujumbe gani kautoa@atu gabriel 6 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Nyie matoto ya bariz muwe mnajibu maswal yangu, sio mnachangia mnakimbia, kama hamuwezi achen mi nichat na bariz mpaka anijibu 6 hours ago · LikeUnlike

Atu Robert Bila amani anayoizungumzia Mh.Rais nasisi pia tunajivunia unafikiri hata nafasi ya ku post hizo comments mngeipata wapi? 6 hours ago · LikeUnlike

Fatma Omary Exactly mondi,!everythng has good and bad!even the ancient philosopher by da name John stuart Mill-argued that,what is good for you is not necessarily good to me under the principle of happiness!the same applied in commenting every 1 has its own way of analysing issues so not the matter of seeing others as -wanajipendekeza! 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Damian Joseph Atu gabriel ...GO TO HELLL... 6 hours ago · LikeUnlike

Elisha Suku Tukumbuke kumshuruku Mungu kwa kutuwezesha kufikisha umri wa miaka 50 kama Taifa! 6 hours ago · LikeUnlike

Hilary Mlay yes tunamshukuru mungu kwa amani tuliyonayo but tumeshoka revolution time 6 hours ago · LikeUnlike

Fatma Omary Yes atu ther is freedom of speech as what we ar doing now,can you people compare ths from those days!be smart 6 hours ago · LikeUnlike

Batholomew Gareya Atu tanganyika hakuna amani, kuna utulivu, kwakuwa halijwah kukufika unasema kuna aman, wale wananch wanaochomewa nyumba zao usiku wa manane na polisi, wakiachwa masikin kisha kupisha mwekezaji wana amani? Wale wachmbji wadogo wanaopgwa risas na polisi watasema kuna amani, watnzani wanaokula mlo mmoja kwa siku utawambia kuna aman, hapa kuna utuliv sio amani@ATU 6 hours ago · LikeUnlike · 3 peopleLoading...

Edward Edgar Michael Unajua kwenye ukwel wacha ubki ukweli na kwenye uongo pia usiutetee mana MR PRESDENT angekuwa anataka ushaur angejibu ata kidogo angeonyesha ushrikiano kwa iyo alchokiandika anajua ni kupiga picha na 50cent what hell of dat bwana 2nafanyana watoto kiukwel mr p atak ushaur na hao washaur wake uko serikalin nazan watakuwa ni ndugu zake 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Daniel Ngonyani Hakuna kujisifu bt glory to God!! 6 hours ago · LikeUnlike

Damian Joseph Bartholomew unaliona hlo li atu lilivyo jinga yani wanaza amani amani amani...utadhani viwanda vinaendeshwa na amani,rushwa itakomeshwa na amani,umaskini utapunguzwa na amani,elimu itaboreshwa na amani,ufisadi utaondolewa na amani, au amani itamfanya jk aache kwenda kuzurura nchi za watu eeeh...we unadhani nchi zenye vita kama afghanistan,iraq,libya,congo watu hawatumii mitandao kama fcbk...tunaipenda amani ila kudhani amani ndo kila kitu tanzania ni stupidity 6 hours ago · LikeUnlike · 4 peopleLoading...

aniel Ngonyani At a national level,we have a harmony bt at a local level no peace nd harmony at all....! Kama kungekuwa na amani bwana Rage asingepanda na bastola jukwaani!. 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Francis Hoti Mi sichangii tena maana umeme umekatia, miaka 50 ya uhuru changamoto nyingi, kweli tunamatatizo mengi lakini tunashukuru amani tunayo. Je tungekuma matatizo na amani hatuna ingekuwaje? 6 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Si wamekalilishwa amani, aman, aman, sijui kwanin haya matoto yanakuwa na akili mgando, mlienda shule kukua, au ndo nyie mliofaulu kwa videsa, mbona mnakuwa vichwa nazi, acheni kufikili kwa kutumia MASABURI 6 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya We atu njoo utujibu haya maswal yetu, kama na wewe unafikili kwa kutumia MASABURI go to hell,
fatma omary jibu hayo maswali yetu mdada 6 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Damian joseph hawa wansisiem unakumbka didas masaburi aliwambia wanafikil kwa kutumia nini? weng ni vichwa nazi na wacheza viduku, wakiulizwa maswali wanakimbia wakija wanaleta majibu mepesi@DAMAS

Asha sultan umeenda wapi tena hebu njoo 5 hours ago · LikeUnlike




Alex Felician Tunacho kitaka ni maendeleo co amani! amani! 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Edward Edgar Michael guyz uwo ni upuuz we doing nothng unajua yeye this tim anafanya nn we dnt knw mpaka diz tim ajajibu chochote so why dnt we stay out of diz status guyz 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Jakaya nimebaki mi na wewe hayo matoto yako ya uvcmm yamekimbia, wapge ukuu wa wilaya wote wamejitahdi, sasa mkuu nimebki mi na wewe anza kunjbu maswal yangu! 5 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Yupo anakula bata nawkina jayz, ponda raha bariz kwa kodi zetu@EDGAR 5 hours ago · LikeUnlike




Edward Edgar Michael achana naye we hav to do our thng we hv a lot of thngs to do 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Ngoja niachane nae aendelee kula bata@EDGAR 5 hours ago · LikeUnlike




Damian Joseph Naomba hii iwe comment ya mwisho jamani ...huyu jamaa hana lolote anaogopa akijibu ndo itakuwa balaa zaidi..ye anadhani tulivyo 'like ' fanpage yake anadhan tunampenda...ni kwa kuwa hakuna sehemu ya ku'hate' ndo mana so ili tumwambie yote haya inabidi kui'like' tu... 5 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...




Fatma Omary Unajua nini batholomeo me cjakimbia ila nashndwa kukuelewa wew na wengne vitu mnavosema ni out of point,hayo maswala ya aman yanatoka wapi!mimi nilivoielewa hyo status hapo sidhan kama imetaka hayo unayolalamika wewe me ndo mana nimekuambia kweli 2najivunia baadh ya nyanja ikiwemo hyo alietolea status,lakin ange2uulza je miaka 50 ya uhuru maswala ya uchumi,siasa ikiwemo usalama ningejib but i don see any connection my friend. 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Hahahaha umenifurisha kaka, ngoja tuachane nae huyu jamaa hana jipya, kwaheri mheshimiwa@JOSEPH 5 hours ago · LikeUnlike




Daniel Ngonyani Unajua nini,mi nadhani hii status kuna watu wanamwandikia..ndo maana he's stay kimya! 5 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Sichangii anavyotaka yeye, nawasilisha matatizo tuliyonayo, kwaiyo angekuja kujisifia amemwaga net nchi nzima ungemsfia bila kugusa mambo mengne, ukisubilia ya uchumi aweke hapo utangoja miaka 5 my dada@fatma omary 5 hours ago · LikeUnlike




Alex Felician E bwana mi cchangii tena coz umeme umekatika! halafu anasema miaka 50 ya uhuru! Labda aseme miaka 50 ya kuwa gizani,umasikini,ufisadi,bei za bidhaa kuwa juu!!? 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Edward Edgar Michael nakubaliana na wewe daniel inawezekana kuwa kuna mtu anadrive acount yake ila kma ni yeye abar kaipata na kama siyo yeye a2samehe ila ukwel ndo huwo 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Hussein Aman Kulindwa Even to this case; yes president we are to live proud of 5 hours ago · LikeUnlike




Daniel Ngonyani Amani ndo kila kitu bt kisiwe kivuli cha kufichia maovu ya ufisadi! 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Fatma Omary Ok@gareya basi kumbe kama vp status ingeletwa direct ibebe kero zoote ingekua vyema zaid,any way i thnk we said a lot and what remains is implementations mana within short time 2meweza gusa nyanja zote na yote yanayokera,hvyo lets pray to God amhelp aweze kuimplement changes coz ts not too late.. 5 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Edward Edgar Michael Guyz we need 2 live it 5 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Ok fatma nashukulu kwa uelewa wako mpana dada, bt kwa tuliyoyasema ayafanyie kazi, tusiwe wbinafsi kwa kujiangalia sisi wenyewe, kuna watu wanateseka nyie acheni, niliwah kufika kuna sehemu moja huko lindi sikuamin kama na wenyewe ni watz, pamoja sana my sister, hii ni nchi yetu tuwe wakweli daima@fatma omary 4 hours ago · LikeUnlike




Mazoya Souza Dé the countriez which have failed to survive plz....... Whch of them got such resourez, dnt tell me large population meanz povert will drive us till down! 4 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Shadya Mohamed Ooh yah!jst love n peace r arnd us..! 4 hours ago · LikeUnlike




Latifah Makau very, very proud.... 4 hours ago · LikeUnlike




Damian Joseph Nendeni kijiji cha
MNUWI huko mtwara vijijini...nini
lindi bwana...kule mpaka leo moto
unawashwa kwa kupekecha kijiti.. 4 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Steve Musau Mr President can you come to Kenya? We are lost out here !!No leaders !! 4 hours ago · LikeUnlike




Josephat Magoma Toka asubui ha2na umeme uku mtaan bt 2taji proud kwl?hata kama kuna aman? 4 hours ago · LikeUnlike




Deus Moris napita tu! 4 hours ago · LikeUnlike




Deogratias Luena Jifunze na Historia usijifunge na Historia 4 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...




Daniel Ngonyani Proud of what? Hardshp of life? Lack of sufficient electricity supply? Increasing number of seducers or what? I need vissible answerz 4rm u,mr p! 4 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Iv bado mnahangaika na huyu jamaa, mwenzenu saiv yupo NY anatanua na totoz za kizungu, mi nimeishaachana nae, maswali yangu yote hajanijibu, 4 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Jabir Ally Hahahaaaa,,,,,,,bahat mbaya watanzania wachache sana tunaoingia hapa,,,,,,,,,,lakini PIMA MAONI YA WATANZANIA,PIA JIFUNZE KUTUMIA LUGHA YA TAIFA,MIAKA 50 YA UHURU BADO WATUMWA WA LUGHA ZA WAKOLONI 4 hours ago · LikeUnlike · 4 peopleLoading...




Munawer Juma before your term finish try to compromise with the oppossion let people of tanzania have change apart of ccm 4 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Eshack Deo Mhe. Ile picha uliopiga na Naomi ulipendeza kweli. Teh teh, mtafute na Lady Gaga alaf tupostìe we are proud of your snap. 4 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...




Zawayayi Christian Mateso yote haya ya Watz hivi kweli hamyaoni? Nini vijijini? Hapa hapa Dar hatuna cha kujivunia labda kwa hao wanaoishi City Centre, ambao wengi wao ni Wahindi na Waarabu na wao viongozi ambao ni wabinafsi. Njooni muone maeneo kama huku Kimara, Makabe, Bonyokwa n.k. Umeme hakuna, maji ndo usiseme, barabara hakuna kabisaaa. Kwakweli sioni cha kujivunia ndani ya nchi hii, tunadanganyana tu. Mlitudanganya kipindi cha kampeni maji yaliyokuwa yanatoka wakati ule sasa hivi yako wapi! Umeme uliokuwa unapatikana wakati wote uko wapi sasa hivi! Barabara zilizokuwa zinapita katapila kila wiki sasa hivi mbona hatuyaoni makatapila yale tena?
Mbona mnatufanya mazuzu hivi?
Ipo siku Watanzania tutachoka na tofauti zenu mnazoziweka kati ya mlionavyo na sisi tusionavyo.
Msitumie upole wetu kutudhulumu haki zetu.
Huna jipya. 4 hours ago · LikeUnlike




Elly G. Michael Mmmh haiingii kabisaaa, kwanza waambie watanzania nlin tutaondokana na giza! yan tunarudia miaka ilee ya vibatari.. 3 hours ago · LikeUnlike




Boaz Mihulu Mbundu Of course you are right Hon President!But we doan have to be satisfied with ths blessings only we need to look forwad. 3 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Zawayayi Christian Kabisaa@ elly 3 hours ago · LikeUnlike




Reginald Petro Asante sana Erick ukeli na kura tz havifanani ucwe mhafidhina wa kujipendekeza kwa Rais wakati umeme ukukatika unaitukana serikali yake yote nayeye pia kwani aliyekwambia kyra zote huwa ni za halali nani mjomba? acha kujipendekeza unataka tushauri nn wakati ukweli uko waziElisha Erick 3 hours ago · LikeUnlike




Deo Paschal Tunamshukuru mungu kwa miaka yote hii tumeishi kwa amani!,Dosari ndogondogo zilekebishwe, 3 hours ago · LikeUnlike




Rifaty Kanefuka Ni kweli mr p ila kuna mambo mengi zaidi yapo vibaya ww kama raisi yakupasa kuwa na maamuzi magumu katika hayo..ila watz tusiwa na ujinga wa kumlaumu tu huyu jamaa..umesaau kua alinza mwl nyerere,mwiny,mkapa..kipi .hao wote wasababisha kua hapa ila wabongo tumezid lawama hata mtu mmoja kumshauri rais..!ni lawama tu..home work nenda kamuulize yeyote maisha yalikuaje kipindi cha mwl ambaye wengi tunaamini ndiye rais bora kuliko wote tz. 3 hours ago · LikeUnlike




Zawayayi Christian Amani wapi Deo! Nenda vijijini uone Watanzania walivyokosa amani kwa maisha magumu wanayoishi huko. 3 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Mi nimeishaongea mengi sana humu leo, mi sitaki kuwa mnafiki, kuna watu humu wanamuogopa babariz, wanamsifia tu wakati hakuna alichofanya, wanaimba aman kwenye njaa@cristian 3 hours ago · LikeUnlike




Khassimu Jr Issiah mr president nakushukuru sana kwa kutufikisha hapa tulipo kielimu umetufikisha mbali hasa kwa huko nchi za nje kweli bendera umeipeperusha vyema,mafanikio uliyoyapata yako kilogicaly zaidi nayano eleweka nawasomi tuu kwa njia ya percentage lakini mr president umesahau kuwa nchi yako sio yakisomi niyakimasikini inayotegemea matendo zaidi nasio takwimu zanamba na computer..hivyo basi kwa comments nlizozisoma huku ndani nidhahiri kuwa wananchi wamekuchoka nakukulaani..mheshimiwa kuirudisha furaha ya wananchi hawa sio kwa kuwa nunulia ndege labda kila mtu apande lahasha ni kuwatimizia tuu ile ahadi yako ya maisha bora kwa kila mtanzania nasio kwa matajiri ikiwa matajiri wameonekana wakifaidi mema yako basi wafanye nawananchi wako walio masikini waone mema yako kwa kushusha bei za vyakula,mafuta,umeme,bei za vifaa vya ujenzi,urudishwaji wa usafiri wa treni.. tumia utajiri wako namamlaka yako kutoa kauli moja tuu nayenye msimamo juu ya tatizo hili laumeme liishe mapema...ndugu raisi nimengi umeyafanya mazuri lakn mazuri hayo yanaonekana kuwanufaisha wenye uwezo namadaraka tuu..nijambo laaibu raisi kupondewa na wananchi embu jipange siku ukirudi hapa ukipost wananchi wote hawa wakusifie nakukushukuru..jamani maisha magumu leo hii elfu kumi nikama elfu..pia tumia facebook hihii kuwauliza wananchi wako matatizo yao nakero zao nashirikiananao kujiuliza jinsi yakutatua matatizo hapahapa facebook... 3 hours ago · LikeUnlike · 5 peopleLoading...




Atu Robert I am proud of my Country and I am proud of my president Mkapa alipokuwa madarakani mlikuwa wa kwanza kumbomoa leo hii mnamkumbuka,umuhimu wa Jk mtauona akimaliza muda wake .Huyo Mungu tunashindwa kumshukuru awe binadamu mwenzetu? Huo ni mtazamo wangu. 3 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Mh jk kwakwel tumekuchoka mjomba, nchi imekushnda wapo wengi wenye karama za uongoz na wenye kuchukua maamuzi magumu, mh rais wewe umewekwa mfukoni na wafanyabiashara wakubwa, soma nyakati mzee 2015 ni mbali sana mtakuwa mmetumaliza mh, tunateseka sana mzee, inauma sana mateso haya yote we bado unapaa kama popo, afu unakwenda kupga picha na 50cent, atatusaidia nini 50 sisi, tatizi lako we ni mkaidi husikii la mwazin wala mnadi swala, 3 hours ago · LikeUnlike




Abdulla Mwarab Khalfan SURE 0S 3 hours ago · LikeUnlike




Abdulla Mwarab Khalfan SURE SIR 3 hours ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Atu plz kaa kimya, tuna hasira usitake kupandisha hasira zetu kabisa patchmbika humu, kaa kimya kbsa kichwa nazi wewe, iv unafikil kwa kutumia masaburi et
GO TO HELL@ATU ROBERT 3 hours ago · LikeUnlike




Zawayayi Christian Hivi viongozi wa nchi hii mnaHISA kwenye biashara ya MAGENERATOR na MAJI? 3 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...




Jabir Ally &#8206;@zawa,umesahau mafuta????? 3 hours ago · LikeUnlike




Zawayayi Christian Kweli hizi kero unazifanyia kazi? Watz tumechokaa! Punguza hiyo misafari yako. Tulia uijenge nchi yako ili tukukumbuke kwa mazuri. 3 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Zawayayi Christian Asante kwa kunikumbusha@ Jabir 3 hours ago · LikeUnlike




Atu Robert Kaka yangu au mdogo wangu Bartholomew,ukitaka mtazamo wa kila mtu uwe sawa na wako huo ni u dictator 3 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Fatma Omary Ok@gareya kwa kunielewa dada ako. 3 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Hahahaha atu usijali nilikuwa najalibu kupima uelewa wako, nilitegemea utapanic, tupo pamoja usijali toa maoni yako kama mtanzania usiende na mkumbo wakina sisi@ATU ROBERT 2 hours ago · LikeUnlike




Abshiri Salim Mh!baba ridhiwan,hebu angalia saa yko inasoma saa ngapi?@jk 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Zawayayi Christian &#8206;@Atu.Watanzania waliowengi wanateseka, usimlaumu galeya, inatia uchungu sana. Nchi hii haikutakiwa baadhi yetu waishi maisha magumu hivi. Kama si mimi na wewe tusipowatetea wale ambao Tsh.10000 haipati hata mwaka unaweza kukatika.
Hali mbaya Atu. 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Lilian Charles Gjøde Thank you Mr President for reminding me of that! Please can you also help our country out of poverty so that we can be super proud of that as well:) 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Atu Robert Nimekuelewa na naheshimu mtazamo wako inaonyesha nikiasi gani watanzania wamefunguka akili zao na kujiamini kuelezea fikra zao. 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Atu Robert &#8206;@Zawayawi hilo ndio tatizo letu tuelewe kwanza then to comment,sijamlaumu Bartholomew nilichomweleza ni kuwa kila mtu anacomment kwa uelewa wake na mtazamo wake,kwa mtazamo wangu brother nadhani tungeenda zaidi kwenye kutafuta solutions.Lakini tukitukana au tukilaumu bado tuko pale pale tunakuwa hatujadhauri. 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Batholomew Gareya Mbona mheshimiwa hatujibu, ndo kusema tunapoteza muda hapa, au alikuwa anataka tmsfie tu, kama ndo ivyo hatuna haja ya kupoteza muda hapa tnabishana hapa@ATU ROBERT 2 hours ago · LikeUnlike




Latifa Sabuni Yes we must proud on that. 2 hours ago · LikeUnlike




Moses Chaliga Jamani bibi yangu mafuta ya taa yamepanda kule kijijini hata chai anashindwa kunywa kiongozi haya ndio maisha bora uliyo tuahidi??mzee kwa hili nisamehe nimehama CHAMA i want changes... 2 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading...




Batholomew Gareya Hahahahaha moses we unashuka leo, gari alilopanda jk si tumeishashuka zamani, tunasubili basi jingine linakuja litakalotufikisha kwenye nchi ya ahadi, yenye maziwa na achali@MOSES 2 hours ago · LikeUnlike




Nickson Magezi That what am proud of my country 4 piece and love we have.we should maintain that. 2 hours ago · LikeUnlike




Allan Nelson hivi kwanini hamtaki kukubari ukweli.tuna azimisha miaka hamsini ya uhuru lakini umeme tatizo kubwa tanzania.je mmeliona 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...


Mwalimu Mwinjuma we are luv,peace and happines....its ok,one blood. 2 hours ago · LikeUnlike

holomew Gareya Nimechoka kusoma comment za haya matoto yasiyojitambua ya sisiem, aman iko wapi, au mnajiongelesha hapa pembeni mnaponda, fungukeni acheni uzezeta nyie, kwenye page mnashndwa kumwambia ukwel, mkikutana nae ana kwa ana si ndo mtabki kucheka cheka, hebu toeni kero zenu acheni kuimba aman nyie watoto 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...
Allan Nelson nilikuwa nashauli-kwanini bajeti ya nishati na madini tukaelekezea bwawa la mtela tukalikalabati liwe linatunza maji. 2 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading...
Batholomew Gareya Mh uwe unajipanga mambo ya kuweka, sio unakuja na ngonjera za aman, tumeishachoka kusikia huo wimbo, njoo na jingne mh, 2 hours ago · LikeUnlike

llan Nelson kwanini usiendelee na hile hupalesheni yako ya kuwa unawashitukiza wafanya kazi wako kama hulivyo fanya mahospitalini. about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Fatma Omary So hot discussion,my advice is instead of blaming a lot,let us first have a deep on summary of political and economic developments since 1961 up to present and also take a look on TANZANIA NEW FOREIGN POLICY then look the role played by the late JK NYERERE(R.I.P)ALLY HASSAN MWINYI,B.W.MKAPA AND JAKAYA M.KIKWETE see their arguments and direction and their philosophies towards development and then You will understand..he does not sleep he make efforts to recover what was done before ,and we must remember that poverty begin during nyerere reign as to why he resigned 1884 why did nt he rescue and then Mwinyi comes with liberalization policies as what he pressured by WB,IMF under SAPs,therefore from that time things are worse,so lets together work hard to attain prosperous life,money does not bring development labour force is needed,let us be realistics towards our national development!together we can move a step forward!bye hv gud 9t. about an hour ago · LikeUnlike



Ally Malenga ni kweli baba yafaa kudumisha umoja wetu kwa gharam zote have a long life my lovely president. about an hour ago · LikeUnlike

Mpandula Inocrinox Acha ujinga ww,piece na utulv unaocfia upo wapi wakat viongoz wanapanda majukwaan na bunduki viunoni,njaa kila kona,vyakula,mafuta,sukari bei juu,au kwa mtazamo wako hayo yote ni amani@nicks about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Allan Nelson umoja wa kinafiki. sio -tunashehelekea tu kwasababu ni watanzania. hatuoni ahibu miaka hamsini ukiulizwa umefanini.!!! about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Batholomew Gareya Nani alikwambia kikwete anadumisha umoja, wakwanza kuhubiri udini si ni yeye na chama chake, wakwanza kuhubiri ukabila si wao, wanaowagawa watanzani kwa matabaki ya dini, ukabili, elimu na mali si ni wao na genge la wezi wanaomzunguka, usikulupuke ktoka kitandani unakuja kumwaga pumba, kama huwezi kuchangia lala hatutaki wanafiki tanganyika ya leo@ALLY MALENGA about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

llan Nelson tena tushehelekee kimya kwasababu wengine wakisikia ni haibu kwa taifa.hatakitu kimoja cha kujisifu about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...

Mpandula Inocrinox Sheikh mkuu wa wilaya aliulizwa,"hijabu ni nini?"akajibu "ni vazi analovaa mwanamke wa kiislam kufunika mwili wake wote icpokuwa uso",akaulizwa tena,"je yule DC wa kule alivaa hijabu"akajibu "kutokana na maana halic ya hjabu yy hakuvaa,icpokuwa alivaa mtandio". Lakn DC alisimama bila son kwa vyombo vya habari kulalamika kua alivuliwa hjab,ss kama co kuchochea udini ni nn?tz hatuhtaji ugomv wa kidn plz jaman. about an hour ago · LikeUnlike

Gabriel Gregory Ishole Nilicho kiona watu wengi mnatoka nnje ya mada katika mjadala huu.Msiweke itikadi tunapozungumzia masuala ya msingi.Mwenye kubeza amani na utulivu wa Tanzania anahaja ya kujitathimini binafsi atakuwa amepungukiwa uzalendo au analake jambo binafsi. about an hour ago · LikeUnlike

Hakuna Matata yani inasikitisha sana watazania tunavyo lala mika kama hivi..lakini kila chenye mwanzo kina mwisho au tufanyaje?? tumwage damu, au tuskilizie mwisho itakuwaje!!!? about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...


Batholomew Gareya GO TO HELL NA AMANI YENU@ISHOLE about an hour ago · LikeUnlike

Allan Nelson hii nchi hinavyo endeshwa kama mtaa. masiala mengi kitu cha siliasi. mtu anautubia kisha anacheka.weeeeeeeeee.... about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...



Mpandula Inocrinox Haya kk ngoja 2jitahd bt kuna mambo yanaboa thts y 2natoka.Cunajua kama unadrive kwa road ya tope tairi znateleza na gari is posble to leav ze road,co hii ni kawaida simply tz ni sawa na road wkt wa utelez. about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...



Allan Nelson watu wachache hawawezi kufanya sisi wote tumwage damu.tubuni plani ya kuwa toa. nimechoka na mambo ya viongozi wetu. about an hour ago · LikeUnlike




Moses Chaliga Kaka GAREYA nakuambia nimehama hicho chama chao nimejitahd kuwatetea lkn hawa jamaa huwez tena kuwa tetea hoja wamefulia yaan nilikimbia hoja nikaja kurealise kumbe ndio maana kipindi cha uchaguzi jamaa walikataa midahalo!lol{ombwe la ukilaza}jamani nimetoka huko ckutaki kbsaaa na kesho naenda kuchukua card ya revolution party. about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Allan Nelson usiku mwema. wana wote tulio kuwa tunashilikiana kuchangia mada- endelezeni guludumu (MJOMBA bubu) about an hour ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




Mumu Jr Chilala &#8206;@ ishole amani is the only thing left as a sheld for this chama nt to be taken out but sorry we know how to take it out n remain with out peace couz who brought the chama and amani and all they seem to pretend it's their as told them b4 he die that it was for all of us not only the chama. 57 minutes ago · LikeUnlike · 1 personLoading...




De Kleinson Kim Sisiti kusema wote wanaosifia hili ni wapumbav ama ni wameamua kuwa wajinga, kwan yanayoendelea hamyaoni? Nchi kukaa kizani hamlioni? Shiling kuporomoka thamani hamuon? Wanafunzi kukosa mikopo hamlioni? Ukosefu wa ajira hamuuoni? Kiwango cha elimu kushuka hamkioni? Nchi kuuziwa waarabu kama mahoteli ya serengeti hamyaoni? Ugumu wa maisha hamuuoni? Ufujaji wa fedha za umma hamuuoni? Wizi wa fedha za umma hamuuoni? Maamuz yasiyo na misimamo kwa ajili ya kuwakingia watu vifua (refer Jairo's case) hamyaoni? Matumizi mabovu ya ikulu (makao makuu ya ofisi za WAMA na sijui kama wanalipia kodi) hamyaoni? Kukingiwa vifua mafisadi hamyaoni? Mishahara mibovu hamuioni? Bidhaa kupanda bei hamuoni? Serikali kuingilia uhuru wa mahakama hamuuoni? Mikataba mibovu inayomnufaisha Kikwete na wajanja wenzake wachache hamuioni? Nchi kuuzwa kwa pair za suti hamuoni? Vyombo vya kidini kama BAKWATA kutumika kwa maslah ya ushindi wa CCM hamuuoni? CCM kusambaza chuki za udini na ukabila ili kutugawa hamuoni? Elim duni + vitendea kazi hamuoni? Acheni kuitetea amani ambayo inatumika na Kikwete na wenzake kama mwavuli wa maslah yao binafsi! Ulisema utaongeza ajira ila tunaona ukipiga picha na kina 50 cent ambao wanamiliki madanguro na club za usiku, je, unataka waje kuwekeza madanguro hapa ili dada zetu wapate ajira za ukahaba na barmade au? Nyerere alitumia hekima kuficha udhaifu wako kwa kusema "bado mdogo" ila ukweli bayana ni kwamba viatu hivyo ulivyovaa havikutoshi!! Na alijua huna uwezo wa kuongoza. Hata kijana aliyegraduate form 6 uganda angepewa hii nchi angeongoza vizuri kuliko wewe. Am out 43 minutes ago · LikeUnlike · 2 people2 people like this.




Bur-han Bigarama kwenye mafanikio siku zote hapakosi changamote, ambazo zinakuongezea Ari,Nguvu na Kasi za kufikia malengo. Mh. Rais zote hizo ni changamote za kutafanya tuwajibike zaidi katika ili kulisogenza mbele taifa letu. Hatubudi kujivunia mafanikio tele ya serekali katika kuleta mafanikio ndani ya nchi yetu. mfan Barabara za kutosha. shule za msingi, sekondari na vyuo.na vingine vingi. o · LikeUnlike




Emanuel Sawe Tumemaliza chuo kazi hatuna halafu tunasherehekea miaka hamsini ya uhuru? tule wapi sisi mr presider? 38 minutes ago · LikeUnlike




Batholomew Gareya Well said tuludi kwenye jukwaa letu, haya matoto ya humu ni majinga hayajitambui yanaimba aman tu@KIM 35 minutes ago · LikeUnlike




Abdellah Hussein Hata Uganda shlng inaporomoka,BAKWATA haitumiwi kuchochea udini bali Chama chenu cha wakaskazini ndo kinachochea udini@kim 25 minutes ago
 
Back
Top Bottom