JK amteua Prof. Idriss Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TIRDO

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.

Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.

Nawakilisha.
 
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.

Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.

Nawakilisha.

Upande ule ule wa JK
 
Vijana wa kiislam Tanzania wanahitaji kuthaminiwa na kuona matunda ya miaka 50 ya uhuru wa nchi yao.

Napendeka wanafunzi wote wa vyuo (waislam na wakristu) wafanye maandamano nchi nzima ya kumpongeza Mh Rais Dr JK kwa uteuzi huu.
 
Ukiitwa Idrisa ni Muislam?

Kati ya wewe unaelalamika na mh rais nani mdini? jiangalie mwenyewe

Nyani haoni...
 
JF kufilia mbali. Inajadiliwa dini na si hoja! Hebu wekeni na bodi memba tuwaone. Ndio maana watu wanaamini JF imekuwa kijiwe cha chuki na majungu.
 
Chadema bwana! Yaani nchi hii mnataka iongozwe na wakristo tuu? Mbona hapa ofisni kwangu wakristo ni 95%? Waislamu wakilalamika; mnasema hawakusoma! Wakisoma wakipewa madaraka --oooh udini!

Haya ngoja Rais awe Padri Slaa mfurahi!
 
Back
Top Bottom