JK amemsimamisha Jairo kupisha uchunguzi wa Bunge - PINDA

sasa na wale kuku waliokua wanaimba jana warudi wakaimbe tena sasa

baba baba huyooo
baba baba huyoo
baba baba huyooooooo

Nyambaff kabisa, muda wa kazi wao wanasukuma gari za serikali zilizo na watendaji na madereva ndani ya gari

NIMEWADHARAU SANA WALE WAJAMAA WA WIZARA
 
Hebu tujiulize.INA MAANA LUHANJO HAKUMTAARIFU JK Maamuzi ya uchunguzi kabla hajatanganza kwa UMMA?JIBU NO.SASA INAKUWAJE RAISI ABADILISHE UAMUZI WAKE?RAISI KIGeuGEU.KAOGOPA PRESSURE YA BUNGE
 
Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
For sure kajitahidi but safari ya jk ni ndefu kwenye maamuz magumu
yan aliyofanya ni theluc ht robo bado so kazi ni kwake, either jairo au waziri mkuu na bunge lake
Wapinzan usiwazebe subir mwisho ndo utaona ukali wa wapinzani
 
JK ameona huu mtaji wa Jairo unaweza kuwapotezea jimbo la Igunga, ndo maana kafanya hivi, maana watu wangesema mbona wanachagua mafisadi wa kuwawajibisha?
Hata yeye huwa anapita huku JF na kusoma hisia za watu then anazifanyia kazi..!!
 
Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!

ameshachelewa na pia maamuzi aliyofanya si mazito kwani amefanya hata wapinzani waongee
 
Hivi yule mwanamuziki wa Kenya aliyeimba JK Kigeugeu anaitwa nani vile!
 
We have a good and Strong Leader
thanx JK

Mkuu hakuna kitu hapa maaafa kwa taifa
images
 
We have a good and Strong Leader
thanx JK

crap!!!

ni sawa na baba anaangalia wake zake wanapigana, halafu jioni anawaandalia chakula na kukaa kimya, wanapigana tena anaenda mbugani kutembea... hadi aone sasa mwanandoa mmoja anataka kutoka ndio aingilie kati

PREVENTION IS BETTER THAN CURE
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Nahisi hamna serikali,kila mmoja anamaamuzi yake,katibu mkuu katoa yake,bunge yake,na jk naye katoa maamuz yake,duh kaaazi kweli kwel,naona ligi inaendelea
 
Nawashangaa wanajamvi wanaompongenza Rais Jakaya kigeugeu.pongezeni Zitto aliepeleka hoja bungeni
 
wana jf napata taarifa ya ile filim ya jairo inaendelea baada ya mh. waziri mkuu mizengwe pinda kulijulisha bunge kwamba jairo amerudishwa likizo kupisha uchunguzi. wana jf hebu tujadili hii inatosha? kwanini wasiwapeleke likizo CAG,Katibu mkuu kiongozi,pamoja na waziri wa wizara husika? je si ndio muda muafaka wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais kwani amepingana na hawafanyi kazi kwa ushirikiano na waziri mkuu pamoja na bunge, kwanini waziri mkuu asijiuzulu? naomba kuwasilisha

Ni kweli rais kama ameliona hili pia anatakiwa aone kuwa hana Katibu Mkuu kiongozi, hana CAG, hana Waziri wa nishati na kwamba pale wizara ya Nishati na madini hana watu bali madudu washa na mambumbumbu.

Aanze na Ngeleja kwa sababu aliacha kikao cha bunge dodoma kwenda kumpokea sub ordinate wake kwa mbwembwe na kukumbatiana mbele ya media kuonyesha naye amepoteza kabisa dira katika juhudi za kutaka ku recover kutokana na msukosuko uliopo Wizarani kwake.
 
Mimi siungi mkono hili hata kidogo kwa hali halisi hawa wafanyakazi walikuwa na nia tofauti. Wengi wao itakuwa ni WOGA kwani Luhanjo alisema waliotoa siri wachukuliwe hatua sasa wewe utaona wenzio wanasherehekea na wewe ukae tu ofisini?? si ndo mwanzo wa kushilkwa uchawi hapo??

Nyie acheni tu Organization Politics za SIRIKALI ni ngumu sana

Au walipewa takrima ili wafanye kasherehe?
 
Back
Top Bottom