Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
mkuu Maundumula
na je ikulu ikinywa chai ya billioni 15 watanenepa sana
Swali lako lina hang halina uhusiano na mada husika.
mkuu Maundumula
na je ikulu ikinywa chai ya billioni 15 watanenepa sana
Maundumula je serikali haina pesa yakulipa madaktari ila ya chai bil 15 ipo?Swali lako lina hang halina uhusiano na mada husika.
Sun Tzu mkuu wewe unaishi wapi wewe hamna anayeshabikia huu mgomo humu jf tuna tumia falsafa hii IF U CANT CONVINCE CONFUSE THATS ALL je kama serikali yako ingekuwa inajali afya za wanachi wake mpaka leo ungejirudia?Great Thinkers & Sinkers,
Mimi naomba kuuliza tu! Hivi nyinyi mnaoshabikia madaktari kugoma kwa maana nyingine mnaunga mkono watanzania kufa bila kupata huduma za afya. Hizi siasa za namna hii zitawapeleka wapi?
Hivi kweli hapa watu wanadiliki kujiita 'Great Thinkers' kwa majadiliano hoja na matusi yanayotolewa humu.
Mtu akiwashinda kwa hoja mnasema katumwa huyu, oh mdini huyo, or CCM huyo hoo huyo %^$8^%£CHADEMA%£$£, Tuaache siasa za kipumbavu na kujadili vitu vya msingi. Watanzania wanakufa period! Au mnataka mpaka yawapate ndugu zenu wa karibu ndipo mtaoona umuhimu wa mgomo wa madaktari?
Kwa kushabikia mgomo wa madaktari mnashangilia kufa kwa watanzania! I don't see the logic here.
Swali langu kwenu Je ikitokea kuwa madaktari wanaendelea kugoma, na kila mtanzania atakayepoteza ndugu yake kwa kukosa huduma wakaamua kuangalia mambo yao binafsi, wakitoka tu kuzika ndugu yao wanatafuta daktari na kulipiza kisasi, je watakuwa wamekosea? kwani madaktari wanaishi miongoni mwetu. Hii haitakuwa njia sahihi hata kidogo na mungu apishe mbali isije kufika hapo tutumie hekima tuokoe maisha ya wantanzani. kwani Hatuna nchi nyingine nchi yetu nii tu, na pakiisha haribika usijidanganye kwamba utaenda uhamishoni. uhamishoni au ukimbizini siyo nyumbani.
Rudini kazini.
Hivi serikali gani itaendelea kuwakubalia kila kitu hawa wahuni? kama hawataki kazi kwa nini wasijiuzulu kisha wakatafute kazi zingine. wananchi wanakufa kwa sababu dakatari ambaye serikali imemsomesha kwa gharama kede kede anataka alipwe milioni 4 kwa mwezi pesa ambayo serikali haina.
hawa jamaa ni wahuni na nadhani bora wakawa treated as such
Nomba sana serikali iwafukuze kazi hawa jamaa ili tuendelee mbele.
ndio sasa njooni mnitukane lakini nishatoa maoni yangu JF style...