yaani wewe ndo matapishi kabisa..sasa JK na madaktari nani mhuni?
Wewe ndio mhuni.unabishaaaaaaaa????
yaani wewe ndo matapishi kabisa..sasa JK na madaktari nani mhuni?
Maundumula nimekusoma mda sana wewe kijana nikakujua wewe ni mmja wa wale dhaifu tunaowapiga kura utasema na KJ TULIMCHAGUA ALISHINDA MWINGINE WAKACHAKACHUA MATOKEO HATA MOST WAWABUNGE WA CCM HAWAJAPITA KIHALALI NDIO SABABU KESI HAZIISHI Mark my word 2015 utawahesabu bungeni hao wa ccm leo 02/07/2012 15:18 pmWabunge si mnawachagua wenyewe kwani mlilazimishwa kwenda kupanga mistari siku ya uchaguzi?
kuna cha ajabu dada yangu kumvulia nguo mwanaume,yupo kwa ajili hiyo.vp wewe umeacha john elton.dada yako ndio mhuni mana kila siku lazima avulie na mwanaume tofauti
Maundumula nimekusoma mda sana wewe kijana nikakujua wewe ni mmja wa wale dhaifu tunaowapiga kura utasema na KJ TULIMCHAGUA ALISHINDA MWINGINE WAKACHAKACHUA MATOKEO HATA MOST WAWABUNGE WA CCM HAWAJAPITA KIHALALI NDIO SABABU KESI HAZIISHI Mark my word 2015 utawahesabu bungeni hao wa ccm leo 02/07/2012 15:18 pm
Hivi serikali gani itaendelea kuwakubalia kila kitu hawa wahuni? kama hawataki kazi kwa nini wasijiuzulu kisha wakatafute kazi zingine. wananchi wanakufa kwa sababu dakatari ambaye serikali imemsomesha kwa gharama kede kede anataka alipwe milioni 4 kwa mwezi pesa ambayo serikali haina.
hawa jamaa ni wahuni na nadhani bora wakawa treated as such
Nomba sana serikali iwafukuze kazi hawa jamaa ili tuendelee mbele.
ndio sasa njooni mnitukane lakini nishatoa maoni yangu JF style...
Maundumula WEWE SIUMESEMA TUMEWACHAGUAWENYEWE. NINAUNGA MKONO 200% HUU MGOMO WA MADACTARI MAANA NILISHAENDA HOSPITALI YA SERIKALI TENA MPYAKIGAMBONI VIJIBWENI DSM NIKATANDIKIWA GODORO CHINI NIKAAMBIWA NIKAE KWA MDA HAMNA VITANDA KUNA WATU WATARUUSIWA SAA TISA NA NILIKAA CHINI NA MTOTO WANGU MPAKA WAKATOKA MKUU Maundumula SISI WATU WACHINI TUNATESEKA SANAMPALE HOSPITALI HATA GLOVES HAMNA NA NI NEW HOSPITAL.KWELI HII NI SERIOUS ISSUE UKITAKA KUJUA NENDA TEMEKE ,M'NYAMALA UJIONEE NYIE WATOTO WAWAKUU HAMYAONI HAYA NDIO SABABU UNAPINGA KWANGUVU NA SIO AKIL NA TAFITI SISI HAYA MAMBO YAMETUKUTA ,KWELI MAMA MJAMZITO UNANUNUA HATA OXTOCIN ILE YAKUKAUSHA DAMU WAKATI WAKUJIFUNGUA ?KWELIKWELINA SERIKALI INATANGAZA HUDUMA ZAKUJIFUNGUA BURE WEWE Maundumula MWOGOPE MUNGU WEWEnivea,
Naona unaleta Politics kwenye mambo ya msingi ya nchi. Hakika wewe huna tofauti na madaktari wanaogoma.
Ni kweli, mtu mzima tena msomi, hatakiwi kulialia au kudeka katika dunia hii. Lazima upime na uwezo wa kiuchumi wa Taifa lako, ila tu wanasiasa na wenyewe wanajipangia malipo makubwa mno!! mpaka wanashawishi hata migomo iendeshwe.
Maundumula WEWE SIUMESEMA TUMEWACHAGUAWENYEWE. NINAUNGA MKONO 200% HUU MGOMO WA MADACTARI MAANA NILISHAENDA HOSPITALI YA SERIKALI TENA MPYAKIGAMBONI VIJIBWENI DSM NIKATANDIKIWA GODORO CHINI NIKAAMBIWA NIKAE KWA MDA HAMNA VITANDA KUNA WATU WATARUUSIWA SAA TISA NA NILIKAA CHINI NA MTOTO WANGU MPAKA WAKATOKA MKUU Maundumula SISI WATU WACHINI TUNATESEKA SANAMPALE HOSPITALI HATA GLOVES HAMNA NA NI NEW HOSPITAL.KWELI HII NI SERIOUS ISSUE UKITAKA KUJUA NENDA TEMEKE ,M'NYAMALA UJIONEE NYIE WATOTO WAWAKUU HAMYAONI HAYA NDIO SABABU UNAPINGA KWANGUVU NA SIO AKIL NA TAFITI SISI HAYA MAMBO YAMETUKUTA ,KWELI MAMA MJAMZITO UNANUNUA HATA OXTOCIN ILE YAKUKAUSHA DAMU WAKATI WAKUJIFUNGUA ?KWELIKWELINA SERIKALI INATANGAZA HUDUMA ZAKUJIFUNGUA BURE WEWE Maundumula MWOGOPE MUNGU WEWE
MKUU Maundumulanivea,
Madaktari wakilipwa 3.5M na allowance 10% ya mshahara ndio wagonjwa watapata magodoro na vitanda?
Hebu jiulize bilikuwaje wakasitisha ule mgomo wa kwanza kama kweli walikua wanatetea wagonjwa?
Hivi serikali gani itaendelea kuwakubalia kila kitu hawa wahuni? kama hawataki kazi kwa nini wasijiuzulu kisha wakatafute kazi zingine. wananchi wanakufa kwa sababu dakatari ambaye serikali imemsomesha kwa gharama kede kede anataka alipwe milioni 4 kwa mwezi pesa ambayo serikali haina.
hawa jamaa ni wahuni na nadhani bora wakawa treated as such
Nomba sana serikali iwafukuze kazi hawa jamaa ili tuendelee mbele.
ndio sasa njooni mnitukane lakini nishatoa maoni yangu JF style...
MKUU Maundumula
IF YOU WANT TO PLAY THE GAME BOY BETTER LEARN TO PLAY IT RIGHT AT THE END WILL SEE WHO THE LOOSER ,KUNA NEW POST KULE NA WALE BINGWA WAMEGOMA BILA INTERNS NA REGISTRAS HAHAAH KATETEE NA KULE
Hivi serikali gani itaendelea kuwakubalia kila kitu hawa wahuni? kama hawataki kazi kwa nini wasijiuzulu kisha wakatafute kazi zingine. wananchi wanakufa kwa sababu dakatari ambaye serikali imemsomesha kwa gharama kede kede anataka alipwe milioni 4 kwa mwezi pesa ambayo serikali haina.
hawa jamaa ni wahuni na nadhani bora wakawa treated as such
Nomba sana serikali iwafukuze kazi hawa jamaa ili tuendelee mbele.
ndio sasa njooni mnitukane lakini nishatoa maoni yangu JF style...
Tofauti yangu mimi na wewe ni kwamba mimi silioni swala la kugoma madaktari kama swala la kufurahisha hata kidogo.[/QU
Elimu ya bure: hakuna anayefurahia migomo, si mwajiri, si anayegoma na wala si mteja wa huduma husika. migomo ni sehemu ya mapambano ya haki, na haki historia inaonyesha haiji kirahisi, mara nyingine ni mpaka ipiganiwe.
Sidhani kama madaktari wanafurahia kugoma bali wamelazimika kufanya hivyo kutokana na wanasiasa wa nchi hii kukosa vipaumbele, huwezi kumpa daktari milioni tatu ila unaweza kumpa mbunge tena wa viti maalum milioni kumi, gari la mamilioni ya pesa na mengine mengi wewe unayajua.
Muwape madaktari support ili serikali ione wananchi hawapo pamoja nao na kwa namna hiyo watatafuta namna ya kushughulika ma na matatizo ya madaktari mapema, na hivyo kuhitimisha mgomo huo.
mkuu Maundumulanivea,
Madaktari wakilipwa 3.5M na allowance 10% ya mshahara ndio wagonjwa watapata magodoro na vitanda?
Hebu jiulize bilikuwaje wakasitisha ule mgomo wa kwanza kama kweli walikua wanatetea wagonjwa?