Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
sijui lini atawaalika wasiojiweza wale viwete wa kule posta na ombaomba wote.kweli mambo ya urembo yameiteka TANZANIA kila kona miss kata ,miss tarafa sijui hadi kwa watoto sijui umiss
Kwani lazima rais aalike watu Ikulu ndiyo aonekane mzuri? Kama suala la kualika watu ni muhimu sana kwa Taifa basi awaagize mawaziri wafanye kazi hiyo pia kama sehemu ya kazi zao za kila siku. Huyu bwana anajichosha kwa kufanya kazi nyingi sana (ambazo si zake) lakini zenye tija kidogo au zisizo na tija kabisa. Na laiti angefanya hayo nchi ikiwa inakwenda vizuri. Ni sawa na dreva anayetelekeza gari lililokwama kwenye matope mazito na kwenda kunywa kahawa akibembelezwa na toto toka Makorora au Kwa Minchi - Tanga. It doesn't make any sense kwani hajamaliza hata kuandaa majibu ya akina Quares, Nkangaa, Butiku na wanzao.