The Golden Mean
Member
- Sep 15, 2008
- 54
- 0
Raisi wetu amealika Ikulu warembo wa Miss EA usiku wa kuamkia leo.
Hii sio mara ya kwanza, huwa siku zote anaalika ma-celeb wa kibongo wamtembelee Ikulu, haina ubaya wowote, ila nnachoshangaa mbona huwa haaliki watu wanaochangia kwenye maendeleo ya taifa letu, kwa mfano watoto waliofaulu, kitaifa au hata kimataifa (kama yule aliyeshinda SADC essay competition) kuonyesha kuwa hao ndio role models wanaotakiwa kufuatwa, yeye ni vitu vya starehe starehe tu.