Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

  • Ndugu NGARUKA
  • Katika biashara hii ya mtandaoni kitu cha kwanza huwa ni uaminifu. Japokuwa wapo wengine si waaminifu, na huwa haangalii future ya biashara zao.
  • Ondoa shaka juu ya usama wa fedha yako, utatumiwa mzigo mahala popote ulipo.
  • Wewe utatoa maelekezo ni basi lipi litumike kusafirishia decorder yako na itakufikia salama.
  • Kwa wateja wa mikoani ndio njia pekee itumikayo
  • Mzigo unatumwa pindi tu, baada ya kupokea malipo.
Njia Mbadala
  • Kama una ndugu/ Jamaa/ Rafiki hapa dar es salaam
  • Mpe hiyo fedha, kisha mpatie namba yangu, nitampa maelekezo wapi aje achukue decorder
  • Atalipia na kupewa decorder hapo kwa hapo
Wakala mikoani
  • Bado mchakato wa kuwa na mawakala mikoani unaendelea
kaka mimi nina maoni.
naomba uwe na wakala au mtu wa kumuagizia hvyo vifaa yaani unampa mtu receivers then unamuagizia mteja wako akachukue kwake.
  • Nimepokea ushauri na unafanyiwa kazi
  • KARIBU
kaka mimi nina maoni.
naomba uwe na wakala au mtu wa kumuagizia hvyo vifaa yaani unampa mtu receivers then unamuagizia mteja wako akachukue kwake.
Mimi binafsi nmeshatenga bajeti ya hyo kitu(qsat&1yr accnt) na bado sina bajeti ya kuja dar. kwa nini usituletee Mwanza kaka?
si unajua hela haina mjanja ukilinganisha na ujanja mpaka viongozi wanachota hela kiaina.
Plz nakuomba nasi wa mikoani utufikirie nadhani wapo wengi wanoshindwa kwa sababu hyo.na kwa Mwanza mimi mwenyewe fundi wa madishi na kuweka channel hz za fta na vingamuzi kama utakuwa interested unaweza hata nitumia mimi uje tuonane tupeane condtion UWARAHISISHIE wateja wako.
NI UWHAURI TU BRO.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana kwa kuuchukua ushauri wangu.
unajua kaka ni vigumu kupima degree ya Uaminifu siki hz hata ndgu wanazurumiana,hilo la kuagiza mtu nilishafanya.kuna dogo langu lipo hapo Ardhi university nikamwambia anichukulie mzigo si akapewa LONG VERSION kila kitu kinafanana na picha nlizomtumia tayari mpaka sasa imekula kwangu. I swear I wl be your first customer if u decide to do so Mwl.,kwanza umeshaamua kutupa burudani kwa nini usitufikirie mkoani mi niko tayari nilipa nauli moja nawe moja lakini kitu kiwe PAPO KWA PAPO
 
Nashukuru sana kwa kuuchukua ushauri wangu.
unajua kaka ni vigumu kupima degree ya Uaminifu siki hz hata ndgu wanazurumiana,hilo la kuagiza mtu nilishafanya.kuna dogo langu lipo hapo Ardhi university nikamwambia anichukulie mzigo si akapewa LONG VERSION kila kitu kinafanana na picha nlizomtumia tayari mpaka sasa imekula kwangu. I swear I wl be your first customer if u decide to do so Mwl.,kwanza umeshaamua kutupa burudani kwa nini usitufikirie mkoani mi niko tayari nilipa nauli moja nawe moja lakini kitu kiwe PAPO KWA PAPO
  • Sawa. Nitumie namba yako ya simu kwenye PM
  • Receiver itafikishwa mwanza kwa cost yangu, na utalipia PAPO KWA PAPO
  • Mengine tutaongea kwenye simu
  • KARIBU
 
Redy_For_Post.jpg
 
mw.rct Nitakutafuta mkuu kabla ya december hii kwisha
  • Karibu mkuu
Unamachaguo matatu
  • QSAT Q23G TSH 230'000
  • SPEED HD s1 TSH 230'000
  • BEST HD4U (Call for Price Tag) With FREE TV1 CCcam + FREE ZAP CCcam + FREE 3G_HUAWEI_USB_MODEM
 
kuna tofauti gani kati ya TV1 CCcam server na A1star CCcam server na je hizo server zinatofauti na account?
 
  • Hakuna tofauti zote ni account za cccam zenye kazi sawa.
  • Tofauti ni wamiliki , yaani ni kampuni mbili tofauti
  • Ni sawa na kusema kuna tofauti gani kati ya voucher ya Mtandao wa Vodacom (a1star cccam) na Voucher ya mtandao wa Airtel (tv1 cccam) - Zote ni voucher za simu kwa matumizi ya kupiga na kupokea simu
  • KARIBU
kuna tofauti gani kati ya TV1 CCcam server na A1star CCcam server na je hizo server zinatofauti na account?
 
  • Kwa wakazi wa MWANZA wanaohitaji kuletewa mzigo hapo mwanza
  • Hakikisha unanipigia simu kabla ya siku ya JUMATANO
KARIBU
  • Karibu mkuu
Unamachaguo matatu
  • QSAT Q23G TSH 230'000
  • SPEED HD s1 TSH 230'000
  • BEST HD4U (Call for Price Tag) With FREE TV1 CCcam + FREE ZAP CCcam + FREE 3G_HUAWEI_USB_MODEM
 
  • 3 Month TV1 CCcam Tsh 65'000
  • 6 Month a1star CCcam Tsh 65'000
  • 12 Month a1star CCcam Tsh 95'000
Redy_For_Post.jpg

KARIBU

mkuu kwa ushauri wako wewe kama mtaalamu wa haya makitu.ipi nzuri kati ya TV1cccam na a1star naona zinafanana bei ila duration tofauti.nataka kufanya uchaguzi tayari nina receiver ila muda wote inasramble
 
mkuu kwa ushauri wako wewe kama mtaalamu wa haya makitu.ipi nzuri kati ya TV1cccam na a1star naona zinafanana bei ila duration tofauti.nataka kufanya uchaguzi tayari nina decoder ila muda wote inasramble

Chukua a1star

No freeze, at all, inakuwa kana kwamba umeweka DVD

Karibu
 
NEW HD, MPEG4 DECORDER FOR THE YEAR 2015
****************
HTB1g8_KTGVXXXXb_QXp_XXq6x_XFXXXR.jpg


  • Muonekano Upande wa Mbele
HTB13e_Sk_GVXXXXay_XXXXq6x_XFXXXp.jpg



  • Muonekano Upande wa Nyuma
​
HTB1_JMOVGVXXXXXQXp_XXq6x_XFXXXM.jpg



  • Endelea kutembelea hii thread ili kuifahamu zaidi DECORDER hii na kwa nini inaitwa ALL IN ONE !
  • jE Inatofautiana vipi na QSAT Q23G, SPEED HD S1 & BEST HD4U?
  • Majibu ya maswali haya yatapatikana katika hii thread
HTB1n_G1_QGVXXXXcc_XFXXq6x_XFXXXy.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom