Jipatie Nakala yako: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania by Nyerere

Daah!Tanzania inaelekea pabaya hv wenzangu mnalchukuliaje suala la ugomv wa huko nyamongo tarime?
 
Daah!Tanzania inaelekea pabaya hv wenzangu mnalchukuliaje suala la ugomv wa huko nyamongo tarime?
 
Hicho kitabu inaonekana si cha kawaida,
kinaandikwa na Mwalimu Nyerere halafu kinafichwa,
na mimi nitakitafuta nijue yaliyomo humo ndani.
 
samahanini kama sinto kuwa muelewa mzuri, ila nahaidi kutumia nguvu kulifaniksha hlo.. Labda nitoe shukran kwa wasemaj walio pamba hoja kabla ya mimi, ila naomba wote tufikie hatua ya kukubali kwamba uongoz ni mbovu, ila tupeane taarifa maelezo zaidi, maana najihsi kutoelewa mengi na hayo ni matokeo ya kuto habarishwa, sasa samahanini kama nina wakwaza ila ni nini haswa kitabu hcho kirihusu na ni kwanini kisi sambazwe na mengne na hata yaliyomo kama mtu anaya jua
 
[h=2]Re: Kitabu cha J. K. kimepigwa marufuku?[/h]Si kweli kwani mimi nimekinunua wiki tatu zilizopita pale mtaa wa Samora katika duka la TPH. Vyote viwili vilikuwepo cha kiingereza na kiswahii na bei yake ni sh. 7,000/- tu.

Waweza kupiga cm namba 0687 238 126 ili kucheki kama bado vipo.

Wahi ndugu yangu.
 
Kitabu hicho hakijapigwa marufuku, kinapatikana TPH Bookshop mtaa wa Samora kwa bei ya sh. 7,000/- tu.
Wiki tatu zilizopita, nimenunua version ya Kiingereza ktk duka hilo na cha Kiswahili pia kilikuwepo.

Wahiwahi.
 
Kitabu hiki kilipigwa marufuku kimya kimya.Sababu katika nchi yetu kuna kikundi cha watu wachache washenzi wasiopenda kukosolewa na vile vile ni wachoyo na wabinafsi.watu hao walifurahi sana Mwalimu alipofariki wakijua fika kwamba watakuwa huru na ufisadi wao.Lakini kila kitu kina mwanzo na mwisho!!Nakumbuka sana siku Mwalimu alipozindua kitabu hiki hapa Dar es salaam mara baada ya kutoka kanisani (Kanisa katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay),Msafara ulienda nyumbani Msasani.Mwalimu akiwa katika Mercedes Benz yenye usajili namba TZA 8857 na Escort ya Benz nyingine 2 TZB 1569 na TZ 75158 saa 4 asubuhi msafara wake ulielekea Ikulu iliyokuwa chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.Ndani akiwa na nakala kadhaa za kitabu hiki.nia yake ni kumfsahamisha Rais wake kwamba atazungumza na waandishi wa habari na kisha kuzindua kitabu chake.Na ndivyo alivyofanya na baada ya hapo alirudi Msasani na kufanya aliyoyakusudia kwa siku ile.Matokeo yake siku kadhaa baadaye nilishuhudia Mwalimu akilwa kama alisuswa kwa namna fulani kwani siku hiyo alikuja kanisani akiwa katika msafara wa magari mawili tu!!La Mwalimu mbele likiwa limewasha taa na gari ya walinzi!Ikatuacha tukiwa midomo wazi.haukupita muda mrefu sana kiongozi wa wakati huo wa Ireland wanamama mmoja alitembelea Tanzania;katika orodha ya viongozialiopangiwa kuonana naye ni pamoja na Mwalimu.Ilipofika wakati mwalimu anawasili Ikulu hayo,cha ajabu hapakuwa na wa kumpokea na alibaki ameduwaa hadi waziri mmoja alipomfuata aliposimama na walinzi wake na kufanya jitihada za kujua ratiba iko vipi ndipo baadaye wakajifanya watu wa Itifaki ikulu kuomba radhi kutokana na kuwa 'busy' na ugeni!!!Tunayajua mengi lakini naomba niishie hapo!
 
Kitabu hiki kilipigwa marufuku kimya kimya.Sababu katika nchi yetu kuna kikundi cha watu wachache washenzi wasiopenda kukosolewa na vile vile ni wachoyo na wabinafsi.watu hao walifurahi sana Mwalimu alipofariki wakijua fika kwamba watakuwa huru na ufisadi wao.Lakini kila kitu kina mwanzo na mwisho!!Nakumbuka sana siku Mwalimu alipozindua kitabu hiki hapa Dar es salaam mara baada ya kutoka kanisani (Kanisa katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay),Msafara ulienda nyumbani Msasani.Mwalimu akiwa katika Mercedes Benz yenye usajili namba TZA 8857 na Escort ya Benz nyingine 2 TZB 1569 na TZ 75158 saa 4 asubuhi msafara wake ulielekea Ikulu iliyokuwa chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.Ndani akiwa na nakala kadhaa za kitabu hiki.nia yake ni kumfahamisha Rais wake kwamba atazungumza na waandishi wa habari na kisha kuzindua kitabu chake.Na ndivyo alivyofanya na baada ya hapo alirudi Msasani na kufanya aliyoyakusudia kwa siku ile.Matokeo yake siku kadhaa baadaye nilishuhudia Mwalimu akilwa kama alisuswa kwa namna fulani kwani siku hiyo alikuja kanisani akiwa katika msafara wa magari mawili tu!!La Mwalimu mbele likiwa limewasha taa na gari ya walinzi!Ikatuacha tukiwa midomo wazi.Haukupita muda mrefu sana kiongozi wa wakati huo wa Ireland wanamama mmoja alitembelea Tanzania;katika orodha ya viongozi aliopangiwa kuonana naye ni pamoja na Mwalimu.Ilipofika wakati Mwalimu anawasili Ikulu hayo,cha ajabu hapakuwa na wa kumpokea na alibaki ameduwaa hadi waziri mmoja alipomfuata aliposimama na walinzi wake na kufanya jitihada za kujua ratiba iko vipi ndipo baadaye wakajifanya watu wa Itifaki ikulu kuomba radhi kutokana na kuwa 'busy' na ugeni!!!Tunayajua mengi lakini naomba niishie hapo!
 
Ni masikitiko yangu kwamba jana niliandika kuhusu kupigwa marufuku kimya kimya kwa kitabu hiki.Lakini nashangaa maoni yangu kutokuonekana!! Hii ina maana gani?
 
mi naona wengi tu tunakihitaji - akikiweka hapa tu download itakuwa ametusaidia sana, MM plse! wengi wetu kununua online inakuwa tatizo kidogo.
Wengi matatizo yetu ni hayohayo. Jinsi ya kukipata shida. Mwenye kuweza atusaidie ili tuweze kudownload.
 
UPDATE by JF Admin:

Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa
paperclip.png
Attached Files
Last edited by Mlenge; 5th March 2011 at 06:09. Reason: Attribution to JF Admin for added attachment and tittle

TAFADHALI, HIZI DONDOO NDIYO ZIPO KATIKA KITABU HIKI​
 
Thanks!
Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza.

Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba kimepigwa marufuku kinamna. Madukani mwa vitabu mwote nilimopita kukiulizia waliniona juha, kana kwamba 'kila mtu anajua' kitabu kilipigwa marufuku.

Madai hayo ni ya kweli au uzushi tu wa uchaguzi?

Shida yangu ni nakala moja tu ya kitabu hicho kwa ajili ya rejea ya kitaaluma.

Natanguliza shukrani.

Amazon.com: Mlenge Fanuel Mgendi: Books, Biography, Blog, Audiobooks, Kindle

=============
UPDATE by JF Admin:


Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa
 
kweli u mzalendo. unasomea lugha? umenifungua macho na kusoma kwangu historia ya ujamaa ckuwahi kukisikia so ntakusaidia kukisaka ukipata au nikipata tukitupie hapa ili wasiofahamu wakipate pia.
 
Search | About | Preferences | Interact | Help
Search Results (Matching Titles)

Searching for books where
Author is Julius K. Nyerere
Title is Our Leadership and the Destiny of Tanzania
Book is written in English
Book is signed



Sorry, we found no matching results at this time

 
Back
Top Bottom