Wakuu heshima mbele.
Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.
Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.
Mubarikiwe sana.
Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.
Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.
Mubarikiwe sana.