Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Jamani, nasikia unasifiwa, unauzwa kuwa ni bora kuliko mipango mingine ya huko nyuma n.k Na kwamba ni mpango ambao tukiutekeleza utatupeleka kuwa taifa la kipato cha kati ndani ya muda mfupi tu. Najua uko katika print format, je kuna mtu ambaye anao katika digital format ili na sisi wengine tuangaze macho na kuukosoa? Naomba mnitumie (aliyenao) kwenye email ya hapa chini. Thanks.